Zifahamu sababu za kujamba ukeni

Zifahamu sababu za kujamba ukeni

Kujamba kwa uke unatokana na doggy style na sio vinginevyo mtoa mada unawaingiza watu chaka, na isitoshe sisi wanaume wengine tunaona raha kusikia uke ikijamba wakati wa kupeleka moto.
 
a
*

KUTOJUA KUJISAFISHA UKE

kwa wale wanawake wote wasiojua kujisafisha vizuri uke tatizo hili lazima likupate

kwahali hiyo basi UKE inatakiwa kuusafisha vizuri na kwa makini na inavyotakiwa pia hakikisha baada ya kuusafisha futa na kitaulo maalum kwaajili ya kufutia sio kanga ulioshindia kwenye mavumbi unaenda kujifutia baada ya kuoga.

UTUMIAJI MAJI MOTO

ukiwa unapenda kusafishaa Uke wako kwa majimoto tatizo hili lazima likukumbe maana maji ya moto hulegeza uke na kuufanya uwe unatoa hewa chafu wakati wa kufanya tendo la ndoa hata baada ya kufanya Uke inatakiwa usafishekwa maji baridi ni mazuri na yanasaidia kubana misuli ya uke pamoja na kuwalinda bacteria ambao ni walinzi wa uke kwa ujumla.

KULEGEA KWA MISULI YA UKE

Pia ikiwa imelegea inasababisha vijambo kwenye Uke kutokana na uke kuwa wazi

fanya mazoezi ya kgel kubana na kuuachia uke

ULALAJI NA SHAHAWA UKENI

Kwa wale wanawake wasiojisafisha ukeni baada ya kufanya tendo la ndoa hali hii lazima itakukuta na pia wanawake hamtakiwi kulala na shahawa ndani ya uke unalegeza uke na kupoteza joto la asili la uke , vilevile kulala na shahawa bila kunawa unasababisha uke kutoa harufu mbaya

USAFI PINDI TUMALIZAPO TENDO LA NDOA

Unapomaliza kufanya jimai mfute mmeo na wewe ujifute, nendeni bafuni ikibidi muoge sio ukimaliza unageukia upande wa pili unakoroma shawaha kibao ukeni uke unapoa na kutepeta.

ukifika bafuni chuchumaa kwa muda kuruhusu shahawa zitoke kwa urahisi jikamue kidogo ili shahawa zitoke vizuri

Kisha osha uke kwa maji mengi usitumie sabuni osha na maji baridi kwani maji baridi yanarejesha uke nduguzangu ok kisha jifute vizuri kwa kitaulo safi uke ubaki kikavu
Aisee..............................
 
*

KUTOJUA KUJISAFISHA UKE

kwa wale wanawake wote wasiojua kujisafisha vizuri uke tatizo hili lazima likupate

kwahali hiyo basi UKE inatakiwa kuusafisha vizuri na kwa makini na inavyotakiwa pia hakikisha baada ya kuusafisha futa na kitaulo maalum kwaajili ya kufutia sio kanga ulioshindia kwenye mavumbi unaenda kujifutia baada ya kuoga.

UTUMIAJI MAJI MOTO

ukiwa unapenda kusafishaa Uke wako kwa majimoto tatizo hili lazima likukumbe maana maji ya moto hulegeza uke na kuufanya uwe unatoa hewa chafu wakati wa kufanya tendo la ndoa hata baada ya kufanya Uke inatakiwa usafishekwa maji baridi ni mazuri na yanasaidia kubana misuli ya uke pamoja na kuwalinda bacteria ambao ni walinzi wa uke kwa ujumla.

KULEGEA KWA MISULI YA UKE

Pia ikiwa imelegea inasababisha vijambo kwenye Uke kutokana na uke kuwa wazi

fanya mazoezi ya kgel kubana na kuuachia uke

ULALAJI NA SHAHAWA UKENI

Kwa wale wanawake wasiojisafisha ukeni baada ya kufanya tendo la ndoa hali hii lazima itakukuta na pia wanawake hamtakiwi kulala na shahawa ndani ya uke unalegeza uke na kupoteza joto la asili la uke , vilevile kulala na shahawa bila kunawa unasababisha uke kutoa harufu mbaya

USAFI PINDI TUMALIZAPO TENDO LA NDOA

Unapomaliza kufanya jimai mfute mmeo na wewe ujifute, nendeni bafuni ikibidi muoge sio ukimaliza unageukia upande wa pili unakoroma shawaha kibao ukeni uke unapoa na kutepeta.

ukifika bafuni chuchumaa kwa muda kuruhusu shahawa zitoke kwa urahisi jikamue kidogo ili shahawa zitoke vizuri

Kisha osha uke kwa maji mengi usitumie sabuni osha na maji baridi kwani maji baridi yanarejesha uke nduguzangu ok kisha jifute vizuri kwa kitaulo safi uke ubaki kikavu
Kabla sijasoma nimekimbilia kusogeza haraka haraka nikijua naambulia picha kwanza kumbe hola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mama kwa uchambuzi mzuri wa uke, kweli mumeo kapata mke
 
Wakati unapump dick kuna hewa inangia kwenye vagina then later on inatoka kwa sauti kwa kizungu wanaita "Queefing" na sio kujamba/fart kama unavyosema. Ni kitu cha kawaida, haina uhusiano wowote na ulichokiandika. Kwa kifupi umeingia chaka mkuu.
Kabisa... Upo sahihi.... Jamaa hajui kuwa queefing inahappen
 
Sababu ya uke kutoa sauti/ kujamba ni kwa sababu ya uwepo wa hewa ndani ya uke.Iko hivi,wakati watu wanafanya mapenzi hewa huweza kuingia na kutoka ukeni.Hewa huweza kuingia ukeni kwa njia zifuatazo:

1.Wakati mwanaume anaingiza na kutoa uume.
Wakati mwanaume anatoa uume wake nje hewa huingia ukeni na kiwango cha hewa ambacho huingia hutegemea na namna mwanaume alivyotoa uume wake.Kama uume utatolewa nje sana hewa huingia sana na kama utatolewa kidogo hewa huingia kidogo.

2.Mtindo ambao mwanamke amekaa.
Kuna baadhi ya mitindo hufanya hewa iingie ndani ya uke kwa wepesi na wingi zaidi. Ikiwa mwanamke atakaa mitindo hiyo kwa muda mrefu zaidi atafanya kiwango kikubwa cha hewa kuingia ukeni.

Mitindo hii sio lazima iwe kipindi mtu anafanya mapenzi bali hata kipindi mtu anafanya romance. Sasa baada ya hewa kuingia ndani ya uke hutengeneza mgandamizo/pressure.

Kadri hewa inavyoongezaka ndo pressure nayo huwa kubwa na hufika mahala hewa hiyo hutolewa na itokapo ndipo mlio fulani/ kujamba napo hutokea.

Swala la utokaji wa hewa hilo halina uhusiano na mambo ambayo ndugu ameyaandika hapo juu bali ina uhusiano na mitindo ya kufanya mapenzi na namna ambavyo mwanaume huingiza na kutoa uume wake.

Namna ya kuepuka mlio huu/ kujamba ni kwa mwanamke kuhakikisha baada ya romance kujitanua kidogo ili hewa iliyoingia wakati wa romance itoke na mwanaume kutoa uume wake kidogo zaidi ili kufanya hewa inayoongia iingie kidogo zaidi na mwisho wa siku kuepuka mitindo inayofanya hewa hiyo kuingia kwa wepesi na wingi zaidi.
 
Back
Top Bottom