Zifahamu sababu za kujamba ukeni

Zifahamu sababu za kujamba ukeni

Hivi siku za maombolezo zimekwisha🤔!?
 
Kuwa na uke ni bonge la adhabu sema tu hawataki kukili hadharani,hebu fikiria hizi nyumba za kupanga tunazokaa wapangaji zaidi ya 10 nyumba moja eti kila mkimaliza show mtu aende bafuni kuosha uke


Acha wanuke tu hamna namna maana sio kwa gharama hizo
 
Mh.Spika swali dogo la nyongeza!
Ukitumia uke kujampa,hicho kijambo huwa kinanuka?
 
Sababu ya uke kutoa sauti/ kujamba ni kwa sababu ya uwepo wa hewa ndani ya uke.Iko hivi,wakati watu wanafanya mapenzi hewa huweza kuingia na kutoka ukeni.Hewa huweza kuingia ukeni kwa njia zifuatazo:..
received with thanks
 
Muweke chuma mboga, alaf piga pah, pah, pah, alafu chomoa asipo jamba njoo unipige
 
Wakati unapump dick kuna hewa inangia kwenye vagina then later on inatoka kwa sauti kwa kizungu wanaita "Queefing" na sio kujamba/fart kama unavyosema. Ni kitu cha kawaida, haina uhusiano wowote na ulichokiandika. Kwa kifupi umeingia chaka mkuu.
Aisee.... 👍
 
Jf hatujafikia kudanganyana kwa kiwango hiki..Mods futa huu upuuzi.
 
Utafiti hewa!

Uke kujamba inategemeana na style aliyokaa mwanamke wakati akiwa mwenyewe, akiwa kwenye shughuli ya mapenzi au vingine vyovyote!.... Hakuna uhusiano wowote na hoja yako labda kama una jambo lako...
Huyo ni wa tiba mbadala anafanya matangazo.
 
Back
Top Bottom