NZALAMALENGA
Senior Member
- Nov 18, 2014
- 141
- 24
Hii habari ya Poland kutaka kujenga kiwanda cha kuunga matrekta tuliambiwa tangu mwaka juzi; ina maana hata makubaliano yalikua bado? Nadhani Watanzania tunapenda sana kupiga makelele wakati hakuna tufanyalo.
Kumbuka kuwa wakati huo Mh Wasira hakuwa Wizara hiyo,baada ya kuingia tu kaanza na kero za wakulima kwa kusimamia ulipaji madeni yao ya mahindi,
Na sasa anawasimamia kuwasogezea zana za kisasa za kilimo.
Binafsi nampongeza Mh Wasira.