Ziara ya Trump huko Qatar ni kufuru!

Ziara ya Trump huko Qatar ni kufuru!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,154
Reaction score
137,162
Air Force One kabla haijatua Qatar, ilisindikizwa na F-15 za Qatar.

Walipotua, msafara wa magari uliongozwa na Cybertrucks nyekundu.

Ongezea na askari waliopanda ngamia.

Hawa Qatar naona wanamjua vizuri Trump maana hayo ndo mambo anayoyapenda.

Ukiongeza na lile dege wanalotaka kumpa bure, hawa Qatar wana lao jambo.

Hawafanyi haya mambo yote bila kutegemea chochote toka kwa Trump!


View: https://youtu.be/OSgYXH3Ra7g?si=IEwoXt4e3aQiXGuE
 
Waarabu wanasaini mamikataba makubwa makubwa na USA, pia hizo nchi tatu anazotembelea ni kama wanashindana nani atazidi mwenzake kwenye mapokezi ya kifahari. Trump yuko kimaslahi ya US zaidi ukiangalia mikataba ilosainiwa jana na Saudi Arabia pamoja na mandege ya Boing ambayo Qatar kasaini kuyanunua leo utajua. Hapo bado UAE anafuatia
 
Air Force One kabla haijatua Qatar, ilisindikizwa na F-15 za Qatar.

Walipotua, msafara wa magari uliongozwa na Cybertrucks nyekundu.

Ongezea na askari waliopanda ngamia.

Hawa Qatar naona wanamjua vizuri Trump maana hayo ndo mambo anayoyapenda.

Ukiongeza na lile dege wanalotaka kumpa bure, hawa Qatar wana lao jambo.

Hawafanyi haya mambo yote bila kutegemea chochote toka kwa Trump!


View: https://youtu.be/OSgYXH3Ra7g?si=IEwoXt4e3aQiXGuE

Inaonekana wana kikosi maalum cha kusoma saikolojia ya viongozi wa dunia kama Trump. Hii ni sehemu muhimu sana ya intelligence katika international economic espionage.
 
Hakuna nilichoongopa we zuzu.

Ndege bado hajapewa na hakuna uhakika kama atapewa.

Rais wa Marekani hapaswi kupokea zawadi kubwa kama hizo. Huu ni ukweli.

Fala mkubwa wewe 🖕🖕.
Sasa mbona umeandika atapewa dege?
 
Inaonekana wana kikosi maalum cha kusoma saikolojia ya viongozi wa dunia kama Trump. Hii ni sehemu muhinu sana ya intelligence katika international economic espionage.
Oh yeah. The Qataris knew their assignment.

Basi hapo Trump moyo wake umesuuzika sana.

Wako vizuri katika kumsoma mtu na kumwelewa alivyo.
 
Air Force One kabla haijatua Qatar, ilisindikizwa na F-15 za Qatar.

Walipotua, msafara wa magari uliongozwa na Cybertrucks nyekundu.

Ongezea na askari waliopanda ngamia.

Hawa Qatar naona wanamjua vizuri Trump maana hayo ndo mambo anayoyapenda.

Ukiongeza na lile dege wanalotaka kumpa bure, hawa Qatar wana lao jambo.
Dege siyo!?

Hawafanyi haya mambo yote bila kutegemea chochote toka kwa Trump!


View: https://youtu.be/OSgYXH3Ra7g?si=IEwoXt4e3aQiXGuE
 
Air Force One kabla haijatua Qatar, ilisindikizwa na F-15 za Qatar.

Walipotua, msafara wa magari uliongozwa na Cybertrucks nyekundu.

Ongezea na askari waliopanda ngamia.

Hawa Qatar naona wanamjua vizuri Trump maana hayo ndo mambo anayoyapenda.

Ukiongeza na lile dege wanalotaka kumpa bure, hawa Qatar wana lao jambo.

Hawafanyi haya mambo yote bila kutegemea chochote toka kwa Trump!


View: https://youtu.be/OSgYXH3Ra7g?si=IEwoXt4e3aQiXGuE

Na huyo mzee anavyopenda sifa, hii heshima waliyompa itafanya hata mijadala itakayofanyika iwe na afya kwa pande zote😅😅😅.

Sema jamaa wako vizuri maana kwa hali ya namna hiyo hata wakiwa na jambo lao wanahitaji inakua rahisi kufikiriwa mara mbili mbili.
 
Na huyo mzee anavyopenda sifa, hii heshima waliyompa itafanya hata mijadala itakayofanyika iwe na afya kwa pande zote😅😅😅.

Sema jamaa wako vizuri maana kwa hali ya namna hiyo hata wakiwa na jambo lao wanahitaji inakua rahisi kufikiriwa mara mbili mbili.
Wakiongeza na kufadhili wagombea marekani,mbona israel anabwagwa chapu
 
Na huyo mzee anavyopenda sifa, hii heshima waliyompa itafanya hata mijadala itakayofanyika iwe na afya kwa pande zote😅😅😅.

Sema jamaa wako vizuri maana kwa hali ya namna hiyo hata wakiwa na jambo lao wanahitaji inakua rahisi kufikiriwa mara mbili mbili.
Wamefanya homework yao vizuri sana.

Yaani hapo Trump anaweza hata akawapa zile B-52s bure kabisa.
 
Back
Top Bottom