talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,188
- 759
acheni upumbavu ninyi. Haipo chadema kama mtaendeleza upumbavu wa kuwaziba watu midomo na fikra. Tunahitaji uhuru wa fikra na mawazo. Kama hamjui huu ndio mwanzo wa kuanguka kwa Chadema.
hamuwezi kuthubutu, Kigoma SLAA alipata 40% mwaka 2010 ikilinganishwa na Kilimanjaro 5%-alichokuwa akikifanya SLAA ilikuwa kutest zari akidhani Waha ni wajinga na Kahama ilikuwa danganya toto-walimtuma ilikujua REACTION ya watu wa Kigoma ili iwasidie kufanya maamuzi dhidi za ZZK, sasa ujumbe wetu kwa CC ya CDM ndio huo anapewaa SLAA kwa kipondo-mfukuzeni kama hamjipendi WA KANDA ninyi
Mrema aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kubebwa na kusukumwa kwenye gari.
Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kurushiwa mawe na kufukuzwa jukwaani kwa mabango.
Lipumba aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kupewa kibano na polisi.
Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kuwaamrisha polisi wawadhibiti wananchi na kuokolewa na kuhifadhiwa na polisi ili asidhuriwe.
Haya yote ni maendeleo...
Cc Mag3
Mkuu kweli Slaa leo watu wanamrushia mawe tena kwenye mkoa alikopata kura nyingi,hapa ni kukosa busara kwa viongozi wetu,Alifikiri anaenda kumkomoa Zitto lakini ndio kwanza anaandika historia na huu ndio mwanzo wa mwisho wake
CHADEMA wanakodi watu wakuja kwenye mikutano!tunakoeleka ni kugumu zaidi,tunakodi waandisha wa habari wa kuandika propaganda?Yote haya ni baadhi tu ya matumizi babaya ya pesa ya Dr slaa.Ole wake mtu aoji ,kila jina baya utaitwa