Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,787
Kama Zuzu!!Sugu pale asahau kabisa, hawezi kamwe kupata kura za kumtosha 2020. Sijui mpaka sasa ngome ya wapinzani ipo wapi maana kila kona wameshindwa, wanazomewa zomewa kweli kweli.
Kama Zuzu!!Sugu pale asahau kabisa, hawezi kamwe kupata kura za kumtosha 2020. Sijui mpaka sasa ngome ya wapinzani ipo wapi maana kila kona wameshindwa, wanazomewa zomewa kweli kweli.
Akili za aina hii huwa mnazaliwa nazo au mnawekewa ukubwani? Hivi CHADEMA/CUF/ACT ni Wakoloni kiasi cha kutamani ccm ambao ni wazawa wawatoe madarakani?Kwa ziara hii Magufuli tayari kwa 100% Huyu mnamwita raisi wa mbeya hana chake pale.... Hongera sana mh Rais wangu Dr. John Pombe Magufuli Mungu ajulinde kwa yote
Kabudi alikua Malawi na Magufuli. Nini kibaya kuongozana naye toka Malawi hadi Mbeya ktk ziara?Kuna sheria imevunjwa?Hizi ni SIASA KATUNI.
Wapi wamezomewa au kuwapanga mafurushi ya waliovalia majezi ya ccm mbele ili washangilie ndio kuzomea. Ukweli bado unabaki kuwa Mbeya mjini Sugu aliwapiku hawa mavuvuzela wa ccm wa kupewa posho.Sugu pale asahau kabisa, hawezi kamwe kupata kura za kumtosha 2020. Sijui mpaka sasa ngome ya wapinzani ipo wapi maana kila kona wameshindwa, wanazomewa zomewa kweli kweli.
Kufanya vurugu au ubishi wa bangi sio kujitambua by the way ni wahuni wachache wa mbeya na Tunduma ndio walikua wanazingua saizi wameshikishwa adabu kimyaaPamoja na mapungufu walionayo watu wa Mbeya lakini ukweli watu wa Mbeya wanajitambua,kiufupi elimu ya uraia kwao wameiva.hawaperekeshwi,Kandoro alionjeshwa,JK alionjeshwa ,Magu wakati wa kampeni Alionjeshwa.
Angalia ziara hii ulinz ulivyoimarishwa kila kona helikopta mbili kila siku zipo angani zikisaidia ulinzi.jiwe analazimika kuchagua maneno ya kuwaambia wananchi.tofauti na mikoa mingine anako geuka msema ovyo.
Unafanya ziara zaidi ya wiki watu wanakuchoka , huna hoja hadi unatengeneza matukio ya kichovu , eti mama katoka Geita kuja kulalamikia dhuluma ya Vodacom Mbalali !
Hujui protocol kajifunze, yaani waziri uko na Rais nchi za nje unarudi nae anaanzia mkoani wewe unasema waziri aje moja Kwa moja dar? Hujui Rais anapokuwepo ndio utawala unahamia hapoKwani ukitoka ziara ya nje ya nchi na Rais ndio lazima uambatane naye ziara za ndani?....... Mbona Kyela hakwenda?!
Wakati mwingine tusijifanye vipofu hata Tulia atatucheka!
Labda unazomewa wewe na mwenyekiti wako ccm hamna kitu kama huamini subira 2020.Sugu pale asahau kabisa, hawezi kamwe kupata kura za kumtosha 2020. Sijui mpaka sasa ngome ya wapinzani ipo wapi maana kila kona wameshindwa, wanazomewa zomewa kweli kweli.
Nimekupuuza!Hujui protocol kajifunze, yaani waziri uko na Rais nchi za nje unarudi nae anaanzia mkoani wewe unasema waziri aje moja Kwa moja dar? Hujui Rais anapokuwepo ndio utawala unahamia hapo
We ni Msaliti in Chief!
Hivi usaliti ni nini ?We ni Msaliti in Chief!
Kwani wewe ni Sungu?
Wafungueni kamba mlizowafunga mikononi na miguuni muone kivumbi. Ccm bila polisi na Dora ni wepesi kama pambaSugu pale asahau kabisa, hawezi kamwe kupata kura za kumtosha 2020. Sijui mpaka sasa ngome ya wapinzani ipo wapi maana kila kona wameshindwa, wanazomewa zomewa kweli kweli.
Endelea na tabia yako, by the time unaelewa utakuwa nsyuka!Hivi usaliti ni nini ?