Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,711
- 218,260
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mwekezaji na Mfanyabiashara wa Kimataifa ambaye pia ni Rais wa Jimbo hilo leo ameanza Rasmi ziara ya kikazi kwenye kata zote za Mbeya Mjini.
Kwa kuanzia leo ilikuwa Kata ya Nzovwe ambako Mkutano mkubwa sana wa hadhara umepigwa, huku ratiba ya Kesho ikionyesha kwamba atavurumisha mkutano mkubwa wa hadhara kwenye Kata ya Igawilo.
Usiondoke JF maana kuna makubwa sana yanakuja kutoka Mbeya .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwa kuanzia leo ilikuwa Kata ya Nzovwe ambako Mkutano mkubwa sana wa hadhara umepigwa, huku ratiba ya Kesho ikionyesha kwamba atavurumisha mkutano mkubwa wa hadhara kwenye Kata ya Igawilo.
Usiondoke JF maana kuna makubwa sana yanakuja kutoka Mbeya .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app