Ziara ya Mama Clinton Nchini Malawi: Picha zinasemaje?

map_of_malawi.jpg

Kitongoji kinachoitwa Tanzania sijaona, Mkuu Charminglady, msaada kwenye tuta tena.
Hiyo sehemu mnayobishania ipo Malawi pia
kuhusu tanzania huenda ka-refer tanzania kama nchi,mwanza anayo-refer itakuwa ni mwanza ya huko kwao na c ya tz
Mwanza is a populated place in the Malawi. An overview map of the region around Mwanza is displayed below.
locmap_MWANZA_33.2986667X-13.72X33.6346667X-13.48.png

Mwanza (Malawi) map - nona.net
 
Kuna neno tanzania, jaribu kuingia kama unatumia computer ukunjue huo mkono wa hilo gauni neno tz litasomeka vizuri, ningekusaidia kufanya hivyo tatizo natumia kasimu ka mchina ni kadogo siwezi kupenya.

Neno limeandikwa ...Ngonia siyo Tanzania.
 
Kuna neno tanzania, jaribu kuingia kama unatumia computer ukunjue huo mkono wa hilo gauni neno tz litasomeka vizuri, ningekusaidia kufanya hivyo tatizo natumia kasimu ka mchina ni kadogo siwezi kupenya.

Duh! Kama computer inaweza kukunjua mkunjo wa nguo katika picha .. basi kwenye picha ya mtu inaweza kumvua nguo na kumwacha uchi.. hii kali ya mwaka!...
 
Huyo mjeshi anavyoonekana kwenye hiyo picha kama ndio (in fact it should be) "cream" yao hamna kitu hapo; behaviour ya kishamba kuliko maelezo; ina-reflect hata aina ya "wapiganaji" wao.

Nakumbuka miaka ile pale kwa CO Col. Mlay, KJ 512 (naweza kuwa nimekosea kidogo), hata makuruta wa miezi miwili walikuwa wakakamavu kuliko huyo jamaa. Ilikuwa enzi zile za Mwalimu, sijui kwa miaka hii ya ufisadi hali ikoje huko majeshini. Ilikuwa enzi zile kuruta anadondoka lakini mestini ya uji iko pale pale hata tone halipotei.

Anyway, all in all, war should be the last option.
 
Yaa it's Mwanza, but that is not enough to stop us from 'kumchapa'. She might hv done that knowingly but also unknowingly.
But also,i know in Mwanza we have pamba, do we also make clothes? We used to do bt i am not quite sure these days!!
Malawi doesnt measure upto us, TUMCHAPE TU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wakuu, ahsanteni sana kwa analysis ya hizi picha. Karibu kila comment inatufundisha kitu kuhusu Malawi.
Nimesoma pia analysis ya wamalawi katika mitandao yao. pamoja na mambo Mengine, wanahoji kwa nini Mama yao ana handbag kuubwa kila mara, yamkini anabeba kitu cha moto (ze mguu wa kukuz) humo.
Nimechunguza pia chambuzi za waingereza kuhusu picha za viongozi, mojawapo ya vitu wanavyosema kwamba picha yaweza kuashiria, ni nani kati ya viongozi walioko kwenye picha anaonesha kuwa na nguvu zaidi ya mwenziwe au wenzake. Wakati wa ku-shake hands kwa mfano, mkono na kiganja kinachokuwa karibu zaidi na kamera ndicho cha mwenye nguvu. Hivyo, viongozi wanaolijua hili la picha husema nini, hutegea maksudi ili mikono yao ioneshe hivyo. Hapa sijui Mama Clinton naye alijipanga? (Angalia picha ya kwanza na ya mwisho, mikono imeshikanaje)
 
wakati rais wa awamu ya tatu anaonywa asisaini mkataba wa anga huru na Marekani alisaini haraka kwa mbwembwe tukienda kupigana vitani tukashindwa yeye ndio atakuwa wa kubeba lawama kwani sasa hivi hakuna tunachoweza kumficha Marekani juu ya uwezo wetu wa kijeshi
 
Wanamwita Hillary Demon Clinton,kabla hajawa state secretary alikua mstaarabu sana but Power corrupt
 
Kwa hii picha tunapewa kichapo otherwise tukubali matokeo, tunamwagwa mboji live
 
Jamani tusije ingia kwenye vita na hawa majirani zetu kwani Kuna nchi inawapa support ndio maana inaleta jeuri otherwise wasinge thubutu hata kuongea ukute wanatupima tu ili waone vifaa vyetu.
Kwa sababu ya Gas vita inevitable ila Mungu atatuokoa
 
Hawa washenzi wanataka kutumaliza..mimi nashauri tuwaachie tu hilo ziwa, halafu pia mbona halijatusaidia watanzania kiwango hicho.
 
Inaonyesha bi Clinton ana good "personal relationship" na huyu mama.
Huyu mama ameishaonyesha uzuzu wake. Ni kama alivyokuwa Kamunzu Banda. Mbele ya Mzungu anajiona kama yuko mbele ya Mungu. Ameishakubali kuhalalisha ushoga, amekataa mkutano wa AU usifanyike Malawi akiogopa Al-Bashiri wa Sudan asije akaenda Malawi na kuwachukiza wazungu, ameingia kwenye uwakala wa kuihujumu Tanzania na mengineyo. Ndiyo sababu ya Clinton kuonyesha ukaribu naye kwa sababu ni weak link katika kuiteka Africa.
 
Hawa ma'Shosti' watatufanya 'kitu-mbaya' tunavyojitia kuchokoza vita na Malawi!

Huyo mama hana matatizo si anashare symbion powers bwana, she is our confidant. Lakini sipendi kabisa kauli za viongozi wa Tanzania zenye muelekeo wa kutaka kumtoa dada Joyce kwenye Agenda yake ya kuisafisha Malawi. Dada Joyce is focused in building Malawi's economy and building a responsible Governance system down there, alafu wanaibuka watu ambao kila wanalofanya ni failure juu ya failure wanamtishia vita.

Kumbuka this madam has not gone to the US toka alipoingia Ikulu, lakini Katembelewa na huyu mama, wakati huyu mama anakuja hapa Handsome wetu alikuwa amekwisha kwenda US zaidi ya mara ishirini Kama safari na kutembeleana ni issue at all.
 
Back
Top Bottom