Shida yako na Tundu Lissu family ni ipi? Angalia hapa,
*mtoto wa Mgimwa- iringa,
* mtoto wa kawawa- Lindi,
* mtoto wa kikwete- chalinze pamoja na Mkurugenzi shangazi yake Ridhiwan,
* Mtoto wa Mwinyi- Rahaleo- zanzibar,
* mtoto wa Makamba- Tanga bumbuli,
* mtoto wa Aboud Jumbe- Bandar zanzibar
* watoto wawili wa Abeid Karume mmoja Balozi kule Uk na mwingine Rais mstaafu,
* mtoto wa Nauye( capteni wa jeshi) Nnape Nauye katibu mwenezi Taifa,
Sasa hapo bado walioko BOT,na wizara za nje,unataka kusema nini nawa kabla hujala bwana.