Ziara ya Christowaje Mtinda Singida Magaribi yaifuta CCM

Ziara ya Christowaje Mtinda Singida Magaribi yaifuta CCM

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,873
Ziara ya Mh.Christowaja Mtinda mbunge viti maalumu mkoa wa singida,amefanya ziara ya ujenzi wa chama kama mtia nia jimbo la singida magharibi kupitia Chadema. Mikutano ilikua ni kitongoji kwa kitongoji. Pia wananchi walimueleza christowaja kua michango imekua mingi na faini, waja akawaambia hukumu ipo mikononi mwao october kuwatoa ccm. Wananchi wamemkubali Christowaje kwa mafanikio makubwa sana.

Wazee na vijana wa kisukuma na wanyaturu wamesema hawataki hawaitaji tena Ccm kwa kudanganywa sana. Christowaje amewaambia maisha duni na wao kusumbuliwa na watendaji ni udhaifu wa serkali ya ccm

Nae kamanda George Gunda (mtia nia ya Ubunge Mkalama kupitia Chadema). Alikuwa katika ziara hiyo aliwaambia wananchi hao kua kama kuna kosa tumefanya serkali za mitaa, basi tumebakiwa na nafasi moja nayo ni oktober udiwani,ubunge na uraisi bila chadema tutaendelea kuumizwa, pia Kamanda George aliuliza vijana ambao wapo tayari kujifunza mbinu za kulinda kura,waliinua mikono mpaka na wazee!.

Wananchi wa mepokea kwa kwa mwamko mkubwa sana ziara hiyo nawamekubali mabadiliko wanasubiri uandikishaji wa kupiga kura ili waiondoe ccm.

Aluta Continua
attachment.php
 

Attachments

  • IMG-20150302-WA0028.jpg
    IMG-20150302-WA0028.jpg
    40.7 KB · Views: 1,054
  • IMG-20150302-WA0030.jpg
    IMG-20150302-WA0030.jpg
    170 KB · Views: 1,116
  • IMG-20150302-WA0033.jpg
    IMG-20150302-WA0033.jpg
    163.3 KB · Views: 3,880
  • IMG-20150302-WA0031.jpg
    IMG-20150302-WA0031.jpg
    180.9 KB · Views: 1,019
Demu analipa. Mnyampaa nini?
 
Hatimae singida magharibi inaenda kombolewa!ni jembe huyo mama.
 
Huyo chini ni mdogo wake Tundu Lissu,Chadema ni chama cha kiukoo
 
Ccm mwaka huu mtakiona cha mtema kuni! Kila pande ni cheche safi kamanda
 
moja kati ya mizigo mikubwa sana chadema

mzigo ni raisi na wabunge wako! Huyu mama alichangia hotuba ya wizara ya elimu nikagundua akili yake ni sawa na wabunge wa ccm 40!.shame on u magamba
 
Duuu.! mwaka huu ni shida kwa hawa ndugu zangu ccm lazma moto uwake.
 

Attachments

  • 1425303725935.jpg
    1425303725935.jpg
    36 KB · Views: 355
Back
Top Bottom