Zero Zero Zero

Zero Zero Zero

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,280
Moja kati ya Tv Show tamu sana kwa wakati huu, jamaa wamecheza.

The Oval pia nasikia iko sawa ila sijabahatika kuipakua. Yeyote mwenye utaalamu rahisi wa namna ya kupakua HD Series I mean it HD as D kwenye Simu please share process na mm hapa. Nitashukuru sana, kwangu Bundle si tatizo.

MV5BZDAwOWI4MjMtMTJhMC00MjU4LTg4ZWUtZDExMzgzMzQ2NjkxXkEyXkFqcGdeQXVyNTE1NjY5Mg@@._V1_.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yupo humu (Stevemollel) kaiweka iyo Oval kwenye telegram Ch yake
 
Back
Top Bottom