Zembwela acha upotoshaji...!

Zembwela acha upotoshaji...!

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Nimefuatilia kwa muda mtazamo wa huyu mwanahabari zembwela na nimegundua kunamambo hafikirii sawa. Kwa mtazamo wake ni kwamba mbunge na diwani ndo mwenye dhamana ya maendeleo ya jimbo. Sitaki kuhoji kiwango chake cha elimu,lakini kwa mtu mwenye ufahamu unajua nani anawajibika kuleta maendeleo na nani anapaswa kupeleka vipaumbele vya wananchi husika. Bwana mdogo zembwela nadhani unapaswa kuwaunganisha vijana kuishinikiza serikali kutimiza yale mliyowatuma wabunge wenu wakayapeleke serikalini kwa kutengewa bajeti na utekelezaji. Lakini ukiendelea kuwaaminisha watu uzembe wa serikali ni wa mbunge unakosea. Sote tunawajua wabunge wawajibikaji na wazembe na lazima tuwawajibishe,lakini hujuma za serikali kwa baadhi ya wabunge kuwafanya hawawajibiki ndo kumezaa mfuko wa jimbo. Sasa wabunge wakiwa watendaji nani ataisimamia serikali ? Mwisho nilistuka na kuogopa zembwela alipowahamasisha wananchi kumng'oa diwani bila uchaguzi eti hawawezi kusubiri uchaguzi wakati anachelewesha maendeleo. Nahisi sheria ya uchaguzi haijui. Amekomaa na azimio la arusha bila kujua kuna azimio la zanzibar wameleta ccm.
 
Nimefuatilia kwa muda mtazamo wa huyu mwanahabari zembwela na nimegundua kunamambo hafikirii sawa. Kwa mtazamo wake ni kwamba mbunge na diwani ndo mwenye dhamana ya maendeleo ya jimbo. Sitaki kuhoji kiwango chake cha elimu,lakini kwa mtu mwenye ufahamu unajua nani anawajibika kuleta maendeleo na nani anapaswa kupeleka vipaumbele vya wananchi husika. Bwana mdogo zembwela nadhani unapaswa kuwaunganisha vijana kuishinikiza serikali kutimiza yale mliyowatuma wabunge wenu wakayapeleke serikalini kwa kutengewa bajeti na utekelezaji. Lakini ukiendelea kuwaaminisha watu uzembe wa serikali ni wa mbunge unakosea. Sote tunawajua wabunge wawajibikaji na wazembe na lazima tuwawajibishe,lakini hujuma za serikali kwa baadhi ya wabunge kuwafanya hawawajibiki ndo kumezaa mfuko wa jimbo. Sasa wabunge wakiwa watendaji nani ataisimamia serikali ? Mwisho nilistuka na kuogopa zembwela alipowahamasisha wananchi kumng'oa diwani bila uchaguzi eti hawawezi kusubiri uchaguzi wakati anachelewesha maendeleo. Nahisi sheria ya uchaguzi haijui. Amekomaa na azimio la arusha bila kujua kuna azimio la zanzibar wameleta ccm.


Ni vizuri ungempigia simu katika kipindi chake na ukatoa ufafanuzi ili uwe umewasaidia na Watanzania wengine,pengine haelewi ndio maana anasema hivyo au lah.
 
Unafikiri hajui. Anataka nafasi ya Salva Rweyemamu. Hujui uchaguzi umekaribia mkuu.
 
Ni vizuri ungempigia simu katika kipindi chake na ukatoa ufafanuzi ili uwe umewasaidia na Watanzania wengine,pengine haelewi ndio maana anasema hivyo au lah.
...yaa mkuu nimekusoma sikuwa na access ya simu na naamini pia jf inasauti kubwa pia,lakini ntajitahidi kumpigia kwenye kipindi chake...
 
Vijana wote ambao wako chadema, ndio uwezo wao wa kufikiri unapoishia. Tusishangae sana...
 
Zembwera jembe huwezi mlinganisha na wale wa Clausi fm
 
Zembwela no Comedian sasa sijui ya uana habar kaitoa wapi.
No wonder fani ya uana habari ina dharauliwa sana.
 
Zembwera jembe huwezi mlinganisha na wale wa Clausi fm

Hii Clausi fm ndiyo kitu gani tena? Wengine tunaishi mbali na huko mjini; tujuze kama ni radio stesheni mpya.
 
Hii Clausi fm ndiyo kitu gani tena? Wengine tunaishi mbali na huko mjini; tujuze kama ni radio stesheni mpya.

Usijifanye Huelewi? Kaandika Hivo Makusudi Na Nafahamu Hata Wewe Ushaelewa Labda Kama Kichwa Chako Kimejaa Makamasi Tu
 
mambo mengi hua hayajui kiundani ila anadhani yupo sahihi.. mimi pia hua naomsikiaga anavoongea kwa kujiamin hata asicho kijua kiutawala au kiuchumi
 
Ujuaji mwingi paka anaboa...hawa watangazaji wanatufanya tuache kusikiliza radio...
 
mambo mengi hua hayajui kiundani ila anadhani yupo sahihi.. mimi pia hua naomsikiaga anavoongea kwa kujiamin hata asicho kijua kiutawala au kiuchumi

Lakini Katiba Si Inamruhusu?? Hongera Wewe Unaejua Kila Kitu, Mbna Hata Rais Wako Huwa Anaongea Kama Leyman
 
Zembwera jembe huwezi mlinganisha na wale wa Clausi fm

...kweli mkuu wale wa claus ni utumbo,ila zembwe hawezi kutofautisha majukumu ya mbunge na serikali,na hayuko huru kusema kweli serikali inapoboronga...
 
Back
Top Bottom