Zelensky asema vita vinakuja nchini Urusi

Zelensky asema vita vinakuja nchini Urusi

[emoji298]in a video message on July 30, President Volodymyr Zelensky said that it's natural and fair that the war is returning to Russian territory.

"Ukraine is becoming stronger. The war is gradually returning to Russian territory – to its symbolic centers and military bases, and this is an inevitable, natural, and absolutely fair process," Zelensky said.[emoji298]
 
[emoji298]in a video message on July 30, President Volodymyr Zelensky said that it's natural and fair that the war is returning to Russian territory.

"Ukraine is becoming stronger. The war is gradually returning to Russian territory – to its symbolic centers and military bases, and this is an inevitable, natural, and absolutely fair process," Zelensky said.[emoji298]
zele akili tee
 
Jana alikuwa Bakhmut
Bakhmut wapi nye shida yenu hamsomi hamfanyi utafiti huyo kenge Zele hana chochote yeye ni kama Mpiga Ngoma tu lakini wimbo na Vijiti kalete nakuelekezwa...

Ile ni US Ndio iko nyuma ya hii Vita Kila kinachofanyika hapo ni mpango wa mashetani wa US..Subirini Majibu ya Urusi katika hilo...Msilie wala msiseme mnaumia.

HUyu msanii anafanya usanii iyo nchi imebakia magofu matupu...

Anajirekodi video akiwa pangoni anatuma anasema leo niko Bakhmut mbona haendi hadharani jamaa anafanya usanii wanamtumia kama tambala hatashinda na ataeumia zaidi ni yeye anaetumika..
 
Zeke Ana viwanda.
200 vya kufanya drones!
Utashuhudia maajabu ya Vita vya drones!
Haha hizo drone zinarushwa ndani ya Urusi kunawanafiki wamehongwa na US ndio wanarusha hizo drone hapo Mrusi anawatafuta atawanasa tu.

Ukraine hana uwezo huo
 
[emoji298]in a video message on July 30, President Volodymyr Zelensky said that it's natural and fair that the war is returning to Russian territory.

"Ukraine is becoming stronger. The war is gradually returning to Russian territory – to its symbolic centers and military bases, and this is an inevitable, natural, and absolutely fair process," Zelensky said.[emoji298]
Hata allah ameagiza!
[emoji116][emoji116]
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ

[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
 
Hana ùbavu huo. Unatumia ñdege za gharama kwenda kuvunja vioo vinne na ndege kutunguliwa
Kwa nchi yenye nguvu za kijeshi na intlijensia kama Urusi,kitendo cha anga lake kupenyezwa na hivyo vidrone na kwenda kivunja hivyo "vioo vinne" kama unavyodai,imeonyesha udhaifu wa Hali ya juu,Ina maana defensive mechanism yao Ina mianya mikubwa sana inayopenyeka,na kama Zellensky na jeshi lake wataendelea kuwa serious makubwa tutayasikia.
 
Anakomaa kama mshumaa huku anateketea
Kwa tulivyoaminishwa kuwa Urusi ina nguvu kijeshi na ni kubwa kuliko Ukraine lkn mpk sasa anayeteketea kama mshumaa kamvimbia mpk sasa. Huu ni mwaka wa ngapi Urusi anakomaa na mshumaa?
Huu mwaka ukiisha Urusi haijaichukua Ukraine, basi Urusi akafanye mambo mengine aachane na vita.
Urusi vita ishamshinda ndiyo maana kakodi mpaka mamluki wa wagner ( unajua wagner wanachukua shiling ngap kwa Putin?) Wagner ni kikosi cha kukodi na hakipo kwenye jeshi la Urusi kwa maana hiyo Putin hana mbinu ya kuichukua Ukraine. Asione aibu afanye kama Marekani alivyofanya kwa Iran na Afghanistan.
 
Kwa nchi yenye nguvu za kijeshi na intlijensia kama Urusi,kitendo cha anga lake kupenyezwa na hivyo vidrone na kwenda kivunja hivyo "vioo vinne" kama unavyodai,imeonyesha udhaifu wa Hali ya juu,Ina maana defensive mechanism yao Ina mianya mikubwa sana inayopenyeka,na kama Zellensky na jeshi lake wataendelea kuwa serious makubwa tutayasikia.
Huwa najiuliza.
1. Kama jeshi la Urusi lipo vizuri kivita kwanini Putin amekodi kikosi binafsi cha Wagner ambao anawalipa mamilion ya pesa kwa ajili ya vita?.
2. Jeshi lake Putin haliwezi kupigana vita mpk akodi?
Huu ni udhaifu mwingine wa Putin kwa maana hiyo hana mbinu ya kivita. Huu mwaka ukiisha bado bila bila inabidi akafanye mambo mengine
 
Naona itakuwa propaganda maana Mpaka sasahivi wataalamu wa kijeshi wa usa na uk wanasema Ukraine kupenyesha mashambulizi Kwenye ulinzi walioweka Russia ni ngumu kuliko maelezo!
Hata USA na uk na nchi zote za nato na nje ya nato pamoja na kupeleka wapiganaji na zana za kijeshi bado matokeo waliyotarajia ya kukomboa nchi iliyotekwa haijatokea .

 
Huwa najiuliza.
1. Kama jeshi la Urusi lipo vizuri kivita kwanini Putin amekodi kikosi binafsi cha Wagner ambao anawalipa mamilion ya pesa kwa ajili ya vita?.
2. Jeshi lake Putin haliwezi kupigana vita mpk akodi?
Huu ni udhaifu mwingine wa Putin kwa maana hiyo hana mbinu ya kivita. Huu mwaka ukiisha bado bila bila inabidi akafanye mambo mengine
Endelea kujiuliza


1;Kwa nin us anamlipa star link ili Ukraine aweze kutumia satelait zake ilhali us analundo la satelait???


2;kwa nin us anakod academy ktk baadh ya mishen zake
 
Mtu anapigwa chumbani kwake safi kabisa Zelesky!! hakika ww ni mwanaume wa kweli, kwa Hali ilipofikia ilikuwa hakuna namna maana kama kupigwa Ukraine keshapigwa makombora karibu ya aina yote sidhani kama Kuna silaha ambayo Mrusi hajaitumia Ukraine labda Nuclear tu ni muda muafaka na yy Aanzee kupokea kichapo ndani mwake maana Ukraine haina Cha kupoteza kwasasa.
Hakika, Ukraine imechelewa sana.
 
Huwa najiuliza.
1. Kama jeshi la Urusi lipo vizuri kivita kwanini Putin amekodi kikosi binafsi cha Wagner ambao anawalipa mamilion ya pesa kwa ajili ya vita?.
2. Jeshi lake Putin haliwezi kupigana vita mpk akodi?
Huu ni udhaifu mwingine wa Putin kwa maana hiyo hana mbinu ya kivita. Huu mwaka ukiisha bado bila bila inabidi akafanye mambo mengine
Umejiuliza maswali ya kipumbavu sana!
 
Huwa najiuliza.
1. Kama jeshi la Urusi lipo vizuri kivita kwanini Putin amekodi kikosi binafsi cha Wagner ambao anawalipa mamilion ya pesa kwa ajili ya vita?.
2. Jeshi lake Putin haliwezi kupigana vita mpk akodi?
Huu ni udhaifu mwingine wa Putin kwa maana hiyo hana mbinu ya kivita. Huu mwaka ukiisha bado bila bila inabidi akafanye mambo mengine
Hiyo ni level ya juu kbs ya matatizo ya Afya ya akili.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwa nchi yenye nguvu za kijeshi na intlijensia kama Urusi,kitendo cha anga lake kupenyezwa na hivyo vidrone na kwenda kivunja hivyo "vioo vinne" kama unavyodai,imeonyesha udhaifu wa Hali ya juu,Ina maana defensive mechanism yao Ina mianya mikubwa sana inayopenyeka,na kama Zellensky na jeshi lake wataendelea kuwa serious makubwa tutayasikia.
Watu walidanganywa kuhusu nguvu za Urusi, Urusi wa kawaida kabisa.Kwa sasa Ukraine wanajiligia popote, yale mapipa ya S400 Ukraine anayapasua sio kawaida.
 
kama una utimamu kichwan jiulize huu mwaka wa ngap Urusi anapambana Ukraine ? na hapo alizuiliwa kushambulia ndani ya Urusi , ukiona Putin anaanza sogeza manowali huko Amerika ujue hali si nzur huko mbeleni ndio maana anajihami kwa kiwatisha USA ila anasahau kuwa anaenda kuwafanya wale washabiki wake wa west waanze kumuona kama adui sasa
Sasa hivyo vidrone viwili vitatu vitabadilisha nini?

Kaipiga BELGOROD tu kidogo kwa kutumia mamluki wa Kirusi, Leo hii watu wapo kwenye mipango ya kuipiga Kharkov.

Mwambieni aache kutumia bwimbwi
 
Back
Top Bottom