passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,803
- 13,034
Nonsensekama una utimamu kichwan jiulize huu mwaka wa ngap Urusi anapambana Ukraine ? na hapo alizuiliwa kushambulia ndani ya Urusi , ukiona Putin anaanza sogeza manowali huko Amerika ujue hali si nzur huko mbeleni ndio maana anajihami kwa kiwatisha USA ila anasahau kuwa anaenda kuwafanya wale washabiki wake wa west waanze kumuona kama adui sasa