The Zanzibar Echo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2025
- 490
- 836
Rais Volodymyr Zelensky amesema Ukraine itakataa pendekezo lolote la Urusi la kulitoa eneo la Donbas kama sharti la kusitishwa kwa mapigano, akionya kuwa linaweza kutumika kama chachu ya mashambulizi ya siku zijazo.
Zelensky alikuwa akizungumza kabla ya mkutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska siku ya Ijumaa.
Trump amesema makubaliano yoyote ya amani yatahusisha "kubadilishana baadhi ya maeneo" na inaaminika kuwa moja ya matakwa ya Putin ni kwamba Kyiv isalimishe sehemu za Donbas ambayo bado inadhibiti.
Wakati huo huo wanajeshi wa Urusi wameendelea na mashambulizi yao ya majira ya kiangazi, na kufanya msukumo wa ghafla karibu na mji wa mashariki wa Dobropillia na kusonga mbele kwa kilomita 10 (maili sita) katika kipindi cha muda mfupi.
Zelensky alikiri kwamba hatua hiyo ilifanyika katika "maeneo kadhaa" lakini alisema hivi karibuni Kyiv itaharibu vitengo vilivyohusika katika shambulio hilo.
Huku akipuuzilia mbali mafanikio ya Urusi kivita, aliongeza kuwa ni "wazi kwetu" kwamba lengo la Moscow lilikuwa kuunda "fursa ya habari fulani " kabla ya Putin kukutana na Trump kwamba "Urusi inasonga mbele, inasonga mbele, wakati Ukraine inapoteza".
"Ikiwa tutajiondoa kutoka kwa Donbas leo - ngome zetu, ardhi yetu, urefu tunaodhibiti - tutafungua wazi daraja kwa Warusi kuandaa mashambulizi," alisema.
===
Ukraine’s President Volodymyr Zelensky vowed on Tuesday not to give eastern Ukrainian land to Russia, saying that abandoning the Donbas region would open the door for Russian President Vladimir Putin to “start a third war” in Ukraine.
Zelensky’s warning comes ahead of Putin’s meeting with US President Donald Trump in Alaska on Friday, where the Russian president is expected to demand Ukrainian land as part of a peace deal.
While there is confusion over Putin’s reported conditions for a ceasefire, most versions stress that the Russian president will demand that Ukrainian forces withdraw from all parts of Ukraine’s Donbas, which includes parts of the Donetsk region it still holds.
Source CNN
Zelensky alikuwa akizungumza kabla ya mkutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska siku ya Ijumaa.
Trump amesema makubaliano yoyote ya amani yatahusisha "kubadilishana baadhi ya maeneo" na inaaminika kuwa moja ya matakwa ya Putin ni kwamba Kyiv isalimishe sehemu za Donbas ambayo bado inadhibiti.
Wakati huo huo wanajeshi wa Urusi wameendelea na mashambulizi yao ya majira ya kiangazi, na kufanya msukumo wa ghafla karibu na mji wa mashariki wa Dobropillia na kusonga mbele kwa kilomita 10 (maili sita) katika kipindi cha muda mfupi.
Zelensky alikiri kwamba hatua hiyo ilifanyika katika "maeneo kadhaa" lakini alisema hivi karibuni Kyiv itaharibu vitengo vilivyohusika katika shambulio hilo.
Huku akipuuzilia mbali mafanikio ya Urusi kivita, aliongeza kuwa ni "wazi kwetu" kwamba lengo la Moscow lilikuwa kuunda "fursa ya habari fulani " kabla ya Putin kukutana na Trump kwamba "Urusi inasonga mbele, inasonga mbele, wakati Ukraine inapoteza".
"Ikiwa tutajiondoa kutoka kwa Donbas leo - ngome zetu, ardhi yetu, urefu tunaodhibiti - tutafungua wazi daraja kwa Warusi kuandaa mashambulizi," alisema.
===
Ukraine’s President Volodymyr Zelensky vowed on Tuesday not to give eastern Ukrainian land to Russia, saying that abandoning the Donbas region would open the door for Russian President Vladimir Putin to “start a third war” in Ukraine.
Zelensky’s warning comes ahead of Putin’s meeting with US President Donald Trump in Alaska on Friday, where the Russian president is expected to demand Ukrainian land as part of a peace deal.
While there is confusion over Putin’s reported conditions for a ceasefire, most versions stress that the Russian president will demand that Ukrainian forces withdraw from all parts of Ukraine’s Donbas, which includes parts of the Donetsk region it still holds.
Source CNN