yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
wadau cjajua vizuri hapo sheria za mikataba(law of contracts) kwa mtu ambaye ameshakufa ila bado naona startimes wanatumia picha zake ktk matangazo yao.mfano ktk ofisi zao pale bamaga bado kuna yale mabango ya ze greti akiuza sura.
Ameshavuta ila bado wanauuzisha sura vp ni haki?
Ameshavuta ila bado wanauuzisha sura vp ni haki?