Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Ewaaa... si unajua hako ni automatic gear? Mambo yakichanganya unamkamatisha Mandolin daadeq anahangaika na manual gear mpaka aote sugu...
Shwain zake grants... imeshaharibu oblangata yangu wallah
Hivi ujue Babu siku ya kwanza kuona avatar yako nikapata maono kuwa wewe ndo malabuku wangu wa kuhorojeshana manually and automatically...
Ngoja nikuketee K Vant ili i dilute blangata nsijekosa mambo buree. Missada Weka pembeni K Vant Matata ndo mpango mzima....
