Ile nyumba kubwa iyotangazwa kwenye media week nzimaWewe ni mbumbumbu, Diamond ana mali ipi South Africa?
Hujielewi.
Watu mna maneno jamani
Hawa ndiyo wale wanaomuamini mane [HASHTAG]#BringbackBhoke[/HASHTAG].Wewe kajambe mbele huko. Alimsaliti mumewe lini? Nani alikwambia alimsaliti mumewe. Uko kwenye internet lakini huwezi kujiongeza utafute habari zenye uhakika.Kwa taarifa yako, Zari na mumewe walishaachana miaka miwili kabla akutane na Diamond. Ivan alikua ana date msichana anaitwa Sharon na Zari alimdate Farook. Ivan was a wife beater. Haya stop commenting rubbish.
Yeye haliwi?I smelled this before if real it is! Kwa uroho na ujana wa Diamond ni vigumu kuishi na bibi mmoja bila kucheat. Zari pia ana moyo wa nyama, anaumia!!!
Kwani kuna mapenzi ya kweli tena mkuu?! Umesikia yakina Joyce Kiria kuanika kila kitu mtandaoni, bado hawa, bado yakina wolper, bado yakina Tunda, bado yakina .... Ni shida...Mapenzi ya siku hizi buana!? ''mapenzi'' yanavunjiwa Instagram. Yaani ni kama enzi zile za barua za utumbuaji alizkokuwa anazitoa yule jamaa wa Ikulu usiku wa manane. Unaamka asubuhi unakutana na screenshot kwa group la Whatsapp.
Zari ameshawahi kuimba verse gani au chorus ipi kwenye album za Diamond?
Naipendaga hii coupleHii ni kweli ni wakati wa Wema kuolewa na Diamond
ila uyo mama ana bla bla
am a bosslady ,ooh i make money moves bla bla kibao