Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,116
- 15,609
Yupo sauzi saiv anasugua goti kwa taarifa yako.diamond ndo amemuacha zari. yule kijana anaenda kwa malengo utashangaj anatoka na tiwa savage
Mange akinena kitu bas mnakipa 100%
Yupo sauzi saiv anasugua goti kwa taarifa yako.diamond ndo amemuacha zari. yule kijana anaenda kwa malengo utashangaj anatoka na tiwa savage
Na papa lake zuri?
Labda kama analisuguwa papa naweza kukuelewa.Yupo sauzi saiv anasugua goti kwa taarifa yako.
Mange akinena kitu bas mnakipa 100%
Kwani joy ameachwa?Huyu dada mstaarabu sana nampa hongera, sio kama wengine wakiachana na wapenz wao kazi yao kutangaza mabaya ya mwenzako kama vile yeye malaika, good usiwe kama Joyce kaachwa analalamika kila kukicha
Mwqnangu vipi mpambano wa viewz kat ya zilipendwa na seduce meIle nyumba kubwa iyotangazwa kwenye media week nzima
Mkuu mi sina timu,hao majamaa mi wote nawakubali,views hazinisaidii kitu mi nikisikiliza mziki nikaupenda inatosha.Mwqnangu vipi mpambano wa viewz kat ya zilipendwa na seduce me
Baba S do not underestimate the power of papuchi.... mambo ni motoooLabda kama analisuguwa papa naweza kukuelewa.
Zari ana kitu gani cha kumbabaisha Diamond? Poor IQ ndio zinawasumbuwa.
nimempenda bure huyo...safi sanaHahahaaaa “Blaza”inategemea mimi hanipi gegedo kaolewa na hataki mawasiliano kabisa mtoto mwenyewe kumuona naenda kumuonea shule weee acha kabisa
Sababu wewe sio diamond. Ungekua yeye ungejua kitu kinacho mbabaisha.Labda kama analisuguwa papa naweza kukuelewa.
Zari ana kitu gani cha kumbabaisha Diamond? Poor IQ ndio zinawasumbuwa.
PoorestSababu wewe sio diamond. Ungekua yeye ungejua kitu kinacho mbabaisha.
IQ yangu ni 135. Nayo ni poor iq???
Na yako ya 90 je?Poorest
Na yako ya 90 je?
unaipimaje iQ?Sababu wewe sio diamond. Ungekua yeye ungejua kitu kinacho mbabaisha.
IQ yangu ni 135. Nayo ni poor iq???
Sijasimama mbona nmekaa. Nimemjibu iq nliyonayo sababu kasema nina poor iq. Kumbe nayo ni sifa kumjibu mtu.Yani kweli kbs unasimama mbele za watu unasifia IQ yako?!..bora ungejisifia chogo lako
Chogo chembaSijasimama mbona nmekaa. Nimemjibu iq nliyonayo sababu kasema nina poor iq. Kumbe nayo ni sifa kumjibu mtu.
Chogo sina bna. Kichwa changu sio kama chako chenye chogo kama ncha ya bamia
Heri yako hata hiyo umeiona.sijaambua kitu na kinyantuzu changu naona diamond tu