Zanzibar will not sustain itself without Union –Sitta: Says currently Mainland meets most of cost in

Jamani! Hii weekend imewafanyaje wakuu??? Mbona ni kama wengi wenu mmemtafsiri six tofauti? Au nimepata makengeza labda.. Sita anapinga hoja ya serikali tatu, anataka mfumo uliopo uendelee, anasema kuweka serikali tatu ni sawa na kuuvunja muungano, anadai sasa hivi bara ndo inabeba gharama za muungano, hivyo tukiwa na serikali tatu itabidi bara ibebe serikali yake na ya muungano. Binafsi siutaki wala siupendi muungano, lakini sijaona mahali sitta amesema zanzibar haitaweza kujitegemea nje ya muungano.
 
Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na Mh.Sita kuwa mailnland ndo wamekuwa wakiwabeba kwa kiasi kikubwa hawa watu wa znz. Vyakula vyote vinavyotumiwa znz kuanzia mchele,maharage, nyama na vinginevyo vinatoka bara kwa kiasi kikubwa. Mainland tunachangia kwenye matumizi ya serikali ya znz kupitia jina la muungano japo wao hawatoi mchango wowote katika swala nzima la serikali ya bara.faida kubwa tunayonufaika nayo watu wa bara na muungano huo ni maswala ya ulinzi wa bara watu wa taasisi za usalama wanadai kwa tanzania bara kuicha znz peke yake ni sawa na china kuachia kisiwa cha Hongkong ama Tibeti kwani vipo kiusalama ambapo ukiviachia unakuwa unahatarisha ulinzi wa nchi yako.Leo hii je unajua jeshi la wazanzibar lipo wapi? Na pia kuna uhusiano gani kati ya znz na Oman. Na ni kwanini historia ya znz haifundishwi mashuleni ukifanikiwa kujua maswali ya majibu hayo utaona kuwa wazanzibar wanaolalamika hawajui wanalolisema na bara tuna sababu za kimsingi za kuendelea kuungana na znz hata kama wao hawataki. Cha muhimu ni kujaribu kuundoa ama kupunguza kero za muungano na kuwapuuza wanasiasa walionunuliwa ili kushinikiza muungano uvunjwe.
 
Kabla ya 1964 Zanzibar ilikuwa inaendeshwa na waarabu.
Wengine wote walikuwa watwana na vijakazi.

Tukiwambia Zanzibar hamuijui na haiwakhusu mnakasirika. Hii ndio Cabinet ya kwanza ya Uhuru, nihesabie Waarabu humu Mkuu:

On this picture are the ministers of the first cabinet. Seated from left are: Dr. Idarus Baalawy, Ali Muhsin (died March 20, 2006), Mohamed Shamte, Juma Alley and Ibuni Saleh. Standing from left are: Sheikh Ameir Tajo, Amirali Abdulrasul, Rashid hamadi, Omar Hamad (Mkamandume) and Maulid Mshangama



View attachment 33667
 
Tukiwambia Zanzibar hamuijui na haiwakhusu mnakasirika. Hii ndio Cabinet ya kwanza ya Uhuru, nihesabie Waarabu humu Mkuu:



View attachment 33667
Makaimati inawezekana ubora wa picha ukawa unanichanganya lakini naona kama kuna "mtu mweusi" mmoja kwenye hii picha...What is your point? We all were made to belive through history that the government which was made before revolution was made up of a cabinet of Arabs and Indians. Hebu kwa heshima na taadhima tuweke sawa kwenye hili. yes I agree with you mambo mengi ya Zanzibar yanawingu la kuficha hali halisi ilivyokua kama hii picha ninavyoiona.
 
Makaimati inawezekana ubora wa picha ukawa unanichanganya lakini naona kama kuna "mtu mweusi" mmoja kwenye hii picha...What is your point? We all were made to belive through history that the government which was made before revolution was made up of a cabinet of Arabs and Indians. Hebu kwa heshima na taadhima tuweke sawa kwenye hili. yes I agree with you mambo mengi ya Zanzibar yanawingu la kuficha hali halisi ilivyokua kama hii picha ninavyoiona.

Mkuu ni kweli nakiri kuwa picha imekosa ubora wa kutosha.

Pili nataka uelewe kuwa kabla ya kuundwa cabinet hio YA coalitian government, Shamte alimtaka Karume waunde GNU. Kwa kushawishiwa na Nyerere, Karume alikataa, kumbe walishapanga kuipindua mwezi mmoja baadae.

Tatu naomba ujue kuwa Zanzibar is a multi ethnic society na hao unaowaona wote ni Wazanzibari wa asili mbalimbali na cabinet ilikuwa very representative.


Nakuomba usihadalike na hivyo vilemba au rangi, iwe ya picha au ya ngozi Mkuu .

Cabinet ilikuwa na watu hawa:

Seated from left are: Dr. Idarus Baalawy, Ali Muhsin (died March 20, 2006), Mohamed Shamte, Juma Alley and Ibuni Saleh. Standing from left are: Sheikh Ameir Tajo, Amirali Abdulrasul, Rashid hamadi, Omar Hamad (Mkamandume) and Maulid Mshangama

Tafakari haya kwanza Mkuu kwa leo.
 
Tukiwambia Zanzibar hamuijui na haiwakhusu mnakasirika. Hii ndio Cabinet ya kwanza ya Uhuru, nihesabie Waarabu humu Mkuu:

On this picture are the ministers of the first cabinet. Seated from left are: Dr. Idarus Baalawy, Ali Muhsin (died March 20, 2006), Mohamed Shamte, Juma Alley and Ibuni Saleh. Standing from left are: Sheikh Ameir Tajo, Amirali Abdulrasul, Rashid hamadi, Omar Hamad (Mkamandume) and Maulid Mshangama



View attachment 33667

Pamoja na kwamba quality ya picha ni siyo nzuri nadhani ina weusi wachache au hamna kabisa, sishangai kwa nini mapinduzi yalikuwa ni lazima kwa watu asilia. Wenye kelele za kuvunja muungano ni wale wale wanaotaka kurudisha hali ilivyokuwa kabla ya mapinduzi. Watanganyika tunajua zanzibar ni mzigo kwetu lakini tutakuwa tumewasaliti waafrika wenzetu kama tutawaacha mikononi mwa mafedhuli. Zanzibar ipo afrika kwa manufaa ya waafrika period!!!
 
Usiwe pongo wa kisiasa.

Elewa kuwa Kwa Sudan kilichowagawanya kwanza ni UDINI kwa maana kaskazi wapo waislam na Kusini ni Wakristo. Sasa kinachofuata soon ni makabila huko Kusini, wanubi wamesoma sanaaa kuliko makabila mengine manne makubwa ya huko. sasa je unafikiri wataweza gawana keki sawa.

Subiri uoneeeeee. Na Tanganyika the same mkivunja muungano mtapita humo humo. Udini utawameng'enya. dalili nathani unaziona wazi hivi sana.
Ok Mwenye macho haambiwi ................
Usiniambia kwamba Matatizo ya Udini ndio yamesababisha Sudan Kugawanyika... Tafadhali angalia uendeshaji, jinsi watu wa asili ya kiafrika walivyokuwa wanabaguliwa na kunyanyaswa na watu wenye rangi tofauti; hawakujengewa shule, hospitali na nyumba za kuishi... tafadhali angalia tofauti ya Juba na Khartoom kwa miaka 50 Juba bado ilikuwa haina Shule na Hospitali watu wa rangi nyeusi ukiwa kibaraka wa rangi nyingine hapo utapewa elimu na maisha bora... the system watawala wa rangi nyingine wanaita DEVIDE AND RULE... that what watu wa rangi nyingine walivyowafanyia watu weusi... Modern day Slavery...

Tanganyika hayo madaraja ya kunyanyasiana kwa rangi kuliondolowa baada ya Uhuru, Makabila yetu makuu yanaishi bila kugombea Madaraka Tanganyika hakuna Tatizo la Udini, Udini unaletwa na watu wenye Uchu wa Madaraka na Wengi wao ni wabaguzi

Sasa Unasema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar itawakumba wa bara, wabara wanajua nani hawapendi Muungano, wabara ni wakimya nadhani umetembelea Bara na sio just Dar-es-salaam.
 
Mr Dash Dr Idarous Baalawy, Mohammed Shamte, Rashid Hamadi na Mkamandume ni Wapemba safi, Ali Muhsin ni Muarabu aliyechanganya na Mmanyema,Juma Aley sina uhakika ila alikuwa mweusi ti, Ibuni Saleh na Maulid Mshangama ni Wangazija - Comorians, Ameir Tajo ni Mmakunduchi na Amirali Abdurrasul ni Muhindi. Sasa hapo la ajabu lilikuwa lipi.

Kama ni Wahindi na Machotara hata Cabinet ya Tanganyika walikuwepo akina Bryecon (mzungu), Amir Jamal (Muhindi) Julie Manning (chotara). Hata Secretary wa Nyerere alikuwa Mzungu
 
Mimi sikubaliani na maneno ya Sita. Znz inazo rasilimali za kutosha za kujiendesha na kupata maendeleo makubwa. Sekta za utalii na uvuvi zinaweza kuipatia Znz pesa nyingi za kigeni.
 
Siyo over-night lakini lengo litakuwa ni kuzifikia iran au saudia. Huu muungano ni wa kulinda utu na heshima ya mtu mweusi at any cost, la sivyo waarabu, wamanga, wamangakoko na wahindi watashika dola na kurudisha dhuluma unyanyasaji na uonevu na mateso kwa watu asilia. Hili ndo chimbuko la mapinduzi na muungano. Tatizo watu asilia wanadanganywa kwa kete ya uislam lakini watajuta pale watakapo kabidhi dola kwa mabwana zao na kuuvaa utwana. Wajifunze ya Sudan, hakuna haki kati ya waafrika na waarabu, wasitegemee uislam hata Dafur ni jimbo la waislam weusi to be honest uislam unahalalisha utumwa na mtu mweusi kwa kiarabu anaitwa abdi au abdu na maanake ni mtumwa. Mwarabu anapomwona mtu mweusi anaona mtumwa, salama ya mtu mweusi ni kutomkabidhi madaraka hata kama anatumia ile silaha ya uislam

Mrdash1,
Pitia historia ya Zanzibar uone kama iliwahi kuwa kama Iran au kama Saudia!

Pia Jaji Agostino Ramadhani anaweza kukusaidia katika haya mambo ya Uislamu na ukristo Zanzibar.

Muungano at any cost kulinda heshima ya mtu mweusi......Hapa Tanganyika tuna wazawa na mafisadi. Juhudi tungezifanya kuweka utawala bora ili wazawa wanufaike na rasilimali,hapo heshima ya mzawa aka mtu mweusi ingejengeka. Sasa tunawauzia,tunawagawia kila chetu wazungu,waarabu,wahindi kwa tamaa ya 10%. Heshima ya mtu mweusi iko wapi hapa ,mkuu?

Zanzibar ina mchanganyiko wa watu,weusi na weupe kama ilivyo kawaida ya visiwa. Haya mambo ya utumwa na utwana ni siasa zilizopitwa na wakati. Ni karata ya turufu kwa CCM. CCM wanapopanga wizi wa kura husema.."kulinda mapinduzi"...heshima ya mtu mweusi.

Kwa muungano huu uliopo ni suala la muda tu. Kama "kero", mimi husema mazingaombwe kama hayatasitishwa basi tunatengeneza maafa kwa siku zijazo.
 
What I'm Saying is FreePort will have a lot of difficulties to create as because of Zanzibar Rule of Law which follows 5 pillars of Islam

Misaada inayopokea sio tu itakuwa ya OIC; Most of Rich Islamic Nations Aid comes with strict restrictions right now Zanzibar does not receive those kind of Aid.

Yeah umesema kuwa Islamic Fanatism it only happening in Zanzibar just because of the Union With Tanganyika?

Pitia hapa.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...vyohangaisha-utawala-z%92bar.html#post2204465

lakini mkuu Zanzibar rule of law which follow 5 pillars of Islam umekusudia kusema nini?
Unazungumzia Zanzibar ya Dr.Shein na Maalim Seif au kuna Zanzibar iko maeneo ya Gulf ndiyo unayoizungumzia hapa?
Nimejaribu kufungua Atlas nimeshindwa kuiona Zanzibar nyengine zaidi ya Zanzibar ya Dr. Shein!

Hivi Dr. Shein anaongoza Zanzibar kwa islamic laws?... liweke sawa suala hili.
 
Kichwa cha mada hii kinajieleza vizuri,na Sitta anashindwa kujieleza kama mwanasiasa kwa sababu huwezi kusema Zanzibar haiwezi ku sustain bila bara kwa sababu ati bara inalipa gharama nyingi.Ebu fikira maneno haya mwanamme anamwambia mkewe! Si matusi haya? Iweje Sitta ajifikirie yeye Mungu wa kupanga kujimudu kwa Zanzibar kunategemea bara. Labda angezungumzia swala la usalama na sii kiuchumi kwa sababu Zanzibar hata kabla ya Uhuru walikuwa mbele yetu kiuchumi na kwa hakika the small number of population inakupa nafasi ya kuonekana mbora zaidi. Mfano mzuri tazama Equtorial Guinea leo wameshika namba moja hali wananchi wake ni maskini kupindukia. Kusema kweli maneno ya Sitta ni matusi makubwa na sioni tofauti na bwana anayetumia fedha zake kumdhalilisha mkewe.
 
Usiniambia kwamba Matatizo ya Udini ndio yamesababisha Sudan Kugawanyika... Tafadhali angalia uendeshaji, jinsi watu wa asili ya kiafrika walivyokuwa wanabaguliwa na kunyanyaswa na watu wenye rangi tofauti; hawakujengewa shule, hospitali na nyumba za kuishi... tafadhali angalia tofauti ya Juba na Khartoom kwa miaka 50 Juba bado ilikuwa haina Shule na Hospitali watu wa rangi nyeusi ukiwa kibaraka wa rangi nyingine hapo utapewa elimu na maisha bora... the system watawala wa rangi nyingine wanaita DEVIDE AND RULE... that what watu wa rangi nyingine walivyowafanyia watu weusi... Modern day Slavery...

Tanganyika hayo madaraja ya kunyanyasiana kwa rangi kuliondolowa baada ya Uhuru, Makabila yetu makuu yanaishi bila kugombea Madaraka
Tanganyika hakuna Tatizo la Udini, Udini unaletwa na watu wenye Uchu wa Madaraka na Wengi wao ni wabaguzi

Sasa Unasema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar itawakumba wa bara, wabara wanajua nani hawapendi Muungano, wabara ni wakimya nadhani umetembelea Bara na sio just Dar-es-salaam.

Unafikiri hayo mambo hamna TZ? Mikoa ya Kusini TZ, yote imenyimwa haki ya kutokuwa na maendeleo tangu enzi za Nyerere alivyopandikisha Udini na ubaguzi kwa mikoa ya kusini. Sasa unafikiri mikoa ya kusini kuanzia Dar, haitoweza kujigawa? Naona unaota ndoto. Kuna mpango maalum ambao unafanyika wa kuigawa TZ kama vile Sudan.
 
Mkuu ni kweli nakiri kuwa picha imekosa ubora wa kutosha.

Pili nataka uelewe kuwa kabla ya kuundwa cabinet hio YA coalitian government, Shamte alimtaka Karume waunde GNU. Kwa kushawishiwa na Nyerere, Karume alikataa, kumbe walishapanga kuipindua mwezi mmoja baadae.

Tatu naomba ujue kuwa Zanzibar is a multi ethnic society na hao unaowaona wote ni Wazanzibari wa asili mbalimbali na cabinet ilikuwa very representative.


Nakuomba usihadalike na hivyo vilemba au rangi, iwe ya picha au ya ngozi Mkuu .

Cabinet ilikuwa na watu hawa:

Seated from left are: Dr. Idarus Baalawy, Ali Muhsin (died March 20, 2006), Mohamed Shamte, Juma Alley and Ibuni Saleh. Standing from left are: Sheikh Ameir Tajo, Amirali Abdulrasul, Rashid hamadi, Omar Hamad (Mkamandume) and Maulid Mshangama

Tafakari haya kwanza Mkuu kwa leo.

Ah! makaimati wee, hapo kwenye red kuna baalawy asiye mwarabu kweli au?
 
tunapo ongelea zanzibar na wanaopiga kelele za kuzunja muungano ni wapemba mimi bado hainiingii akili,
kwanza huu muungano siufagilii hata kidogo hawa wapemba ni wasumbufu sana, wenzao wa unguja na umasikini waliowasababishia wamekaa kimya wao kutwa kucha kupiga kelele,
mafuta yanawatoa roho na KUDANYWA na wakenya, wakiwa free port ni nani soko lao?
maan bidhaa kutoka huko zitapigwa kodi huku bara maana hakuna muungano

mimi nadhani tumewabembeleza sana, walipe ghalama za kupeleka umeme zanzibar na harasa zote za muungano kisha tuuzunje huu muungano
 
Bado siwafahamu Samwel Sitta et al wanataka kitu gani. Ukweli upowazi kabisa na alipokuja zanzibar alisikia sauti ya wazanzibari ikisema wazi kabisa na peupe hadharani kuwa hapa muungano hautakiwi. Nyinyi mumeshikilia kuwa na muungano wapeni nafasi kwa kura ya maoni itakyo simamiwa na mashirika ya kimataifa kusudi wazanzibari wajiamulie hatima yao. Kitu gani kikubwa ambacho kinawafanya mushikilie kuwepo kwa muungano FEKI huu?.
Kama Zanzibar haiwezi kuwa peke yake, kwani kabla hapo 1964 walikitegema nani?. Na kama ni misaada kutoka uarabuni, hata serikali ya tanzania inaletewa misaada ya waarabu kila siku tu. Mwaka juzi mumepewa magari ya polisi mia tatu na pikipiki za usalama mia na ushei. Na kila leo pesa za waarabu zinakuja kuwasaidia. Nyinyi munasumbuliwa na "INFERIORITY COMPLEX" ndio maana munashikilia zanzibar. Zanzibar ni mtaji kwa wabara au sio?.
HATUUTAKI MUUNGANO.
 
Unafikiri hayo mambo hamna TZ? Mikoa ya Kusini TZ, yote imenyimwa haki ya kutokuwa na maendeleo tangu enzi za Nyerere alivyopandikisha Udini na ubaguzi kwa mikoa ya kusini. Sasa unafikiri mikoa ya kusini kuanzia Dar, haitoweza kujigawa? Naona unaota ndoto. Kuna mpango maalum ambao unafanyika wa kuigawa TZ kama vile Sudan.
Mikoa ya kusini ipi hiyo? Vipi Moshi, Nyerere alisimamisha Maendeleo huko sababu wananchi wake walikuwa wameendelea toka wakati wa wakoloni ili maendeleo ya Watanganyika yawe sawa; hakukuwa na tatizo hilo; so please don't create a situation which is not there and will never be there...

Toa habari with Proof... sio Ushabiki...
 
Under the current system Zanzibar enjoys free supply of electricity whereas the Union government owes Tanesco over 50bn/-.
Simwelewi Sitta kitu kimoja, ok, Zanzibar wanapata umeme bure, kwa hiyo ni faida ya Muungano kwa Zanzibar. Na sisi tunapata nini bure kutoka Zanzibar, karafuu?
 
Bila Muungano Zanzibar will do better than now tuangalie facts
  • The smaller the country the easier managed, tunaona hata Rwanda sasa, tatizo la nchi za Africa ni Uongozi mbovu lakini nchi ikiwa ndogo tatizo hili linaweza kupungua
  • Free Port ya Zanzibar inaweza kuifanya Zenji iwe Business Hub ya East Africa, we might all need not go to Dubai kufata bidhaa zetu
  • Karafuu na Tourism inaweza ikasustain Wanzanibar for Free Education, Health and even manage to pay the homeless
Kwahiyo wakuu Zanzibar ikijitenga na kupata uongozi bora inaweza ikaprosper na kuwa one of the rich countries

YES! THEY CAN DO THAT
Experts support Zanzibar’s quest for economic independence
Saturday, 13 November 2010 23:13


stone-town.jpg
By Costantine Sebastian

A number of experts in Mainland Tanzania have come out strongly in support of the lobby in the isles agitating for Zanzibar’s economic autonomy.

They say the move would greatly help to strengthen the union between the two parts of the United Republilc of Tanzania.
However, the ambition for economic independence has been criticised in some quarters, opponents saying those behind the project are shortsighted.

According to them, Zanzibar is by and large a mono-economy depending mainly on tourism which cannot do without the Union and Mainland Tanzania.

The critics also cite the size and population of the Spice islands as yet another of the many shortcomings for its economic independence in the near future.
But Uwazi at Twaweza East Africa research analyst Rose Aiko looks at it differently, saying Zanzibar is not the only small island (or potentially small island state) in the world.

There are many small islands that have probably smaller areas and populations, and face similar conditions as Zanzibar, which exist as sovereign states politically and are economically independent, she noted.
“I think the idea is not as farfetched as it might seem. But there is a certain fear of the unknown attached to it which, I think, is the problem,” she told The Citizen on Sunday in a recent interview, explaining:

“The only problem that I see about Zanzibar being independent economically is that there is a strong feeling when one hears statements like that promising them on one thing--Zanzibar’s inclination to break away from the Union.”
Zanzibar has a total of 1500 square kilometres, which include many surrounding islands. It is 85km long and 30km wide and has around 1.23 million people.

The executive director of the Center for Economic Prosperity, Mr Thomas Maqway, argues that many small island states seem to do pretty well. He explains that with its abudant tourist attractions, other natural resources and a strategic geographical position, there is no reason why Zanzibar should not be able to equally do well.
To him, the voice of an economically independent Zanzibar is an indication and a wake-up call that Zanzibaris have now started to get their heads out of the clouds.

Furthermore, noted another proponent of the move who spoke on condition of anonymity, the isles currently benefit very little officially from the Union coffers.

“They have realized that they too can make it, with or without Tanzania Mainland,” Mr Maqway noted in an exclusive interview.
The more prosperous Mauritius, which is also a small island in the Indian Ocean, is about three quarters of Zanzibar. Mr Maqway said it is 45km wide and 65km long but performs better in many economic and commercial varaibles than the whole of Tanzania.
According to the World Economic Forum’s 2009 Travel and Tourism Competitiveness Index in the Middle East and Africa region, Mauritius ranks fourth while Tanzania ranks 19th. Likewise, in the global index, Mauritius ranks 40th while Tanzania ranks 98th.

Even without unique attractions like Mount Kilimanjaro, national parks, and historical sites like Oldvuai Gorge, Mauritius attracts 22 per cent more tourists than Tanzania (including Zanzibar). Latest avaialble figures of the Wortld Tourism Organisation show that Tanzania hosts 700,000 tourists to 900,000 arrivals a year for Mauritius.
The 2010 Doing Business report also tells a similar story. For ease of doing business, Mauritius ranks 17th globally while Tanzania is 131st.

“I am yet to know who argues for Zanzibar’s possibility to ‘stand on its own economically’ outside the Union. However, it depends on what one means by that. Whatever it means, the following have to taken into account: Zanzibar is a small island economy,” notes Dr Honest Ngowi of Mzumbe University Dar es Salaam Business School.
“Among other things, it is heavily dependent on the Mainland for its economic survival. It has substantial economic ties with the Mainland in terms of goods and services that are ‘imported’ by the island from the mainland.”
According to him, these include, but are not limited to, essential food items, electricity, manpower and many other essentail goods as well as basic services.

Before Zanzibar became part of the Union it had existed briefly as an independent state from the time it was granted independence by Britain in 1963. And history has it that for a long time, nearly 200 years, it had been an offshore territory of Oman.
After the political marriage with Tanganyika in 1964, some economic issues were treated as Union matters to be shared equally by the two sides. As time went on, however, sentiments of economic discontent have took root with an ncreasing number of Zanzibaris feeling that they are not adequately benefitting from the Union’s economic setup.

Recent voices of economic discontent have included people who want oil, gas and offshore fishery matters excluded from Union affairs. The clamour for economic autonomy has got a new push with the coming of a new administration that is based on the Government of National Unity.

According to the administrative manager of the Zanzibar Revenue Board, Mr Ahmed Haji Saadat, the only financing that the isles’ economy gets directly from the Union is the 4.5 per cent of the General Budget Support.

He said most of the current complaints about the Union related to economic issues because many Zanzibaris feel they are not benefitting enough from them.

“My answer to the question whether Zanzibar can go it alone economically is Yes! That is very possible provided their leaders shape a viable vision, communicate it to wananchi, and then invests heavily in human resources (education, health services and other social amenities),” noted financial analyst Fortius Rutabingwa.
Ms Aiko said neighboring Seychelles is another close example Zanzibar could be getting inspirations from for economic autonomy as well as Tonga further in the South.

NA KWA VILE SASA HIVI WANA DEAL ZA KUCHIMBA MAFUTA NA GASI NA KU EXPORT IN THE WORL MARKET
KARAFUU ZAO VILE VILE ZIMEPANDA CHART KATIKA WORLD MARKET

AISEEEEEEE MIMI NAONA SASA ZANZIBAR ITAKUWA KAMA SINGAPORE AMA DUBAI:clock:
 
Back
Top Bottom