Wazanzibar hawajanikosea loloteWazenj wamekukosa nini ? maana wewe utampinga Magu na CCM yake kila kona but linapokuja swala la Zanzibar huwa unakuja na point za ajabu na kutoa support ya ajabu sana na kuonesha kuwa kwenye swala la Zanzibar huwa uko na anaewapopoa bega kwa bega ata akiwa bashite mnaetaka aoneshe vyeti, hivi hawajakuchukulia mali yako ile ya karibu maana wazenj wabaya sana kwa wizi wa jinsia ya eva.
Wazanzibar hawajanikosea lolote
Ni kweli na ninasema wazi katika mengi hili la kulipa Bill namuunga mkono Magufuli
Kwa miaka mingi kumekuwepo na uongo kuwa Tanganyika wanainonya Zanzibar kwasababu znz ina uchumi sana, ina kila kitu. Tumekaa hapa jamvini na kuonyesha bila kificho kuwa Zanzibar si lolote si chochote katika kuibiwa na Tanganyika na kwamba katika muungano hawana mchango
Kelele za Wzn ni za kudai haki hata isiyokuwepo. Mfano eti wanadai ajira za muungano wapewe upendeleo maalumu. Ajira za muungano ni za Tanganyika maana wazanzibar wameajiri hata maeneo yasiyo na muungano. Sasa unapoomba msaada ukageuza kuwa ni haki hapo ndipo kuna tatizo
Kuhusu hili la umme, kuna historia kuwa ZNZ haijalipa bill kwa miaka 30 na imesemwa na mamlaka husika. Inapofikia watu na wake zao hawataki kulipa bili za umeme majumbani, ni aibu na fedheha
Lakini si hilo tu, bajeti ya znz inapata pesa za bure ,watoto wa znz wanasoma bure kwa HESLB, taasis za muungano znz hawana cha kulipa, ingawa taasis kama ZMO wanakusanya pesa za meli.
Yaani hata kile kidogo wanachokusanya hawataki kuchangia
Angali, wabunge wa ZNZ wanakuja Dodoma na kulipwa na kodi za Tanganyika
Kuna wizara ambazo znz haijui bajeti yake kwa miaka 50
Katika hali isiyo na stara, wznz ni wakwanza kuwatenga Watanganyika na kuwafanya ni Rais wabaya kuliko hata wa nchi jirani. Matanganyika ZNZ anaangaliwa kwa jicho la kinyaa
Huku Bara nusu ya wznz inaishi bila ubaguzi wa kitambulisho , wanasoma wanatibiwa na kila kitu
Wakipanda meli mitusi inaanza , halafu hawana hoja yoyoye ya maana
Ni kwa msingi huo Watanganyika wanasema hewala, tumechoka, unabwebwa mgongoni halafu unataka ICE cream, please. Lipeni bili za umeme , mkiachwa mtaomba mahari mlipiwe na kodi za Tanganyika
Hapana! wakati umefika muwe asset katika muungano, kwasasa ni liability tu
Zile habari za 'tutavunja muungano' siku hizi hakuna, mkitaka mkae kwenu salama
Mkumbuke, Tanganyika kwa znz ni kisiama, mtakuja kunywa maji, au kuchota ya kupikia, kufulia kama si kuoga. Mtaishi chini ya kivuli cha Tanganyika ni nature
Lipeni bili zenu, hata umeme mnataka bure!
Wazanzibar hawajanikosea lolote
Ni kweli na ninasema wazi katika mengi hili la kulipa Bill namuunga mkono Magufuli
Kwa miaka mingi kumekuwepo na uongo kuwa Tanganyika wanainonya Zanzibar kwasababu znz ina uchumi sana, ina kila kitu. Tumekaa hapa jamvini na kuonyesha bila kificho kuwa Zanzibar si lolote si chochote katika kuibiwa na Tanganyika na kwamba katika muungano hawana mchango
Kelele za Wzn ni za kudai haki hata isiyokuwepo. Mfano eti wanadai ajira za muungano wapewe upendeleo maalumu. Ajira za muungano ni za Tanganyika maana wazanzibar wameajiri hata maeneo yasiyo na muungano. Sasa unapoomba msaada ukageuza kuwa ni haki hapo ndipo kuna tatizo
Kuhusu hili la umme, kuna historia kuwa ZNZ haijalipa bill kwa miaka 30 na imesemwa na mamlaka husika. Inapofikia watu na wake zao hawataki kulipa bili za umeme majumbani, ni aibu na fedheha
Lakini si hilo tu, bajeti ya znz inapata pesa za bure ,watoto wa znz wanasoma bure kwa HESLB, taasis za muungano znz hawana cha kulipa, ingawa taasis kama ZMO wanakusanya pesa za meli.
Yaani hata kile kidogo wanachokusanya hawataki kuchangia
Angali, wabunge wa ZNZ wanakuja Dodoma na kulipwa na kodi za Tanganyika
Kuna wizara ambazo znz haijui bajeti yake kwa miaka 50
Katika hali isiyo na stara, wznz ni wakwanza kuwatenga Watanganyika na kuwafanya ni Rais wabaya kuliko hata wa nchi jirani. Matanganyika ZNZ anaangaliwa kwa jicho la kinyaa
Huku Bara nusu ya wznz inaishi bila ubaguzi wa kitambulisho , wanasoma wanatibiwa na kila kitu
Wakipanda meli mitusi inaanza , halafu hawana hoja yoyoye ya maana
Ni kwa msingi huo Watanganyika wanasema hewala, tumechoka, unabwebwa mgongoni halafu unataka ICE cream, please. Lipeni bili za umeme , mkiachwa mtaomba mahari mlipiwe na kodi za Tanganyika
Hapana! wakati umefika muwe asset katika muungano, kwasasa ni liability tu
Zile habari za 'tutavunja muungano' siku hizi hakuna, mkitaka mkae kwenu salama
Mkumbuke, Tanganyika kwa znz ni kisiama, mtakuja kunywa maji, au kuchota ya kupikia, kufulia kama si kuoga. Mtaishi chini ya kivuli cha Tanganyika ni nature
Lipeni bili zenu, hata umeme mnataka bure!
Wazanzibar hawajanikosea lolote
Ni kweli na ninasema wazi katika mengi hili la kulipa Bill namuunga mkono Magufuli
Kwa miaka mingi kumekuwepo na uongo kuwa Tanganyika wanainonya Zanzibar kwasababu znz ina uchumi sana, ina kila kitu. Tumekaa hapa jamvini na kuonyesha bila kificho kuwa Zanzibar si lolote si chochote katika kuibiwa na Tanganyika na kwamba katika muungano hawana mchango
Kelele za Wzn ni za kudai haki hata isiyokuwepo. Mfano eti wanadai ajira za muungano wapewe upendeleo maalumu. Ajira za muungano ni za Tanganyika maana wazanzibar wameajiri hata maeneo yasiyo na muungano. Sasa unapoomba msaada ukageuza kuwa ni haki hapo ndipo kuna tatizo
Kuhusu hili la umme, kuna historia kuwa ZNZ haijalipa bill kwa miaka 30 na imesemwa na mamlaka husika. Inapofikia watu na wake zao hawataki kulipa bili za umeme majumbani, ni aibu na fedheha
Lakini si hilo tu, bajeti ya znz inapata pesa za bure ,watoto wa znz wanasoma bure kwa HESLB, taasis za muungano znz hawana cha kulipa, ingawa taasis kama ZMO wanakusanya pesa za meli.
Yaani hata kile kidogo wanachokusanya hawataki kuchangia
Angali, wabunge wa ZNZ wanakuja Dodoma na kulipwa na kodi za Tanganyika
Kuna wizara ambazo znz haijui bajeti yake kwa miaka 50
Katika hali isiyo na stara, wznz ni wakwanza kuwatenga Watanganyika na kuwafanya ni Rais wabaya kuliko hata wa nchi jirani. Matanganyika ZNZ anaangaliwa kwa jicho la kinyaa
Huku Bara nusu ya wznz inaishi bila ubaguzi wa kitambulisho , wanasoma wanatibiwa na kila kitu
Wakipanda meli mitusi inaanza , halafu hawana hoja yoyoye ya maana
Ni kwa msingi huo Watanganyika wanasema hewala, tumechoka, unabwebwa mgongoni halafu unataka ICE cream, please. Lipeni bili za umeme , mkiachwa mtaomba mahari mlipiwe na kodi za Tanganyika
Hapana! wakati umefika muwe asset katika muungano, kwasasa ni liability tu
Zile habari za 'tutavunja muungano' siku hizi hakuna, mkitaka mkae kwenu salama
Mkumbuke, Tanganyika kwa znz ni kisiama, mtakuja kunywa maji, au kuchota ya kupikia, kufulia kama si kuoga. Mtaishi chini ya kivuli cha Tanganyika ni nature
Lipeni bili zenu, hata umeme mnataka bure!
Magufuli kasema na waziri keshakuja kuomba mazungumzo.Mnawaweka wenyewe vibaraka akina shein na genge lake na kuleta majeshi ya uvamizi kila uchaguzi huku mkimsimika Jecha kwa majeshi yenu, sasa mnalalamika kitu gani???
KAMA NYINYI WANAUME KATENI UMEME HIVI SASA TUONE MBIVU NA MBICHI
Magufuli kasema na waziri keshakuja kuomba mazungumzo.
Unakumbuka kifaa kilipoharibika, Vuai alikuja kupiga magoti
Hawawezi kukata ata siku 1, hawana ubavu, wenzao bodi ya mapato zrb walienda kukomea ofisi!Ndivyo magufuli alivyosema ???
Mbona aliwaambia Tanesco wakate umeme, hata ikulu hata jeshini hata polisi hata zanzibar ??
Hakusema wakitaka mazungumzo waachieni kwanza muongee nao,
Lile lilikuwa ni povu la soda ??? HAMNA KITU HAPO NI KUZUGWA NYINYI WADANGANYIKA KATIKA KUISOMA NAMBA
Kama ni wanaume si mngelikata tu mkasubiri mpaka walipe ndipo mrudishe umeme ???
Unayosema ni kweli kabisa Zanzibar ni mzigo naomba mkae Watanganyika halafu mumdump huyu ZanzibarNi facts tu zinazoongea
Katika muungano ZNZ ni tegemezi na huo ni ukweli usio na shaka
1. Bill za Wizara za muungano hawalipi
2. Bili za Taasisi hawalipi
3. Wanapata ruzuku kutoka JMT ambako hakuna ushahidi wanachangia lolote
4. Vijana wao wanasoma bila mkopo kama wenzao
5. Wanategemea soko la Tanganyika
6. Wabunge wanaokuja kuwazungumzia hawalipwi na SMZ!!!
7. Wanataka ajira za muungano, ambazo hatuoni wanagharamia nini ktk muungano
Orodha inaendelea.
Ndiyo maana kwa hili la bill za ndani ya nyumba, namuunga mkono Rais Magufuli 100%
Yaani hata umeme wa ndani nao wanataka walipiwe, please!
Magufuli kasema walipe, na wamekuja mezani. Hawataki waache kulipa waone
Unakumbuka kifaa kilipoharibika, Bilioni 5 za kutengeneza zilitoka kodi za upande gani
Walipe Bill, si kila siku nafasi za upendeleo sasa hapana! Wawajibike
Wakatiwe umeme wakishindwaMuungano wa mbeleko! Lazima mbebaji aumie huku Dogo akipepea Miguu mgongoni mwa mama ndani ya mbeleko.
Ni facts tu zinazoongea
Katika muungano ZNZ ni tegemezi na huo ni ukweli usio na shaka
1. Bill za Wizara za muungano hawalipi
2. Bili za Taasisi hawalipi
3. Wanapata ruzuku kutoka JMT ambako hakuna ushahidi wanachangia lolote
4. Vijana wao wanasoma bila mkopo kama wenzao
5. Wanategemea soko la Tanganyika
6. Wabunge wanaokuja kuwazungumzia hawalipwi na SMZ!!!
7. Wanataka ajira za muungano, ambazo hatuoni wanagharamia nini ktk muungano
Orodha inaendelea.
Ndiyo maana kwa hili la bill za ndani ya nyumba, namuunga mkono Rais Magufuli 100%
Yaani hata umeme wa ndani nao wanataka walipiwe, please!
Magufuli kasema walipe, na wamekuja mezani. Hawataki waache kulipa waone
Unakumbuka kifaa kilipoharibika, Bilioni 5 za kutengeneza zilitoka kodi za upande gani
Walipe Bill, si kila siku nafasi za upendeleo sasa hapana! Wawajibike
Duuuuh8 Na kura pia tunawasaidia kuiba lakini wanashindwa.
Kua na logic mkuu sasa kma tanganyika hawatapoteza kitu mbona wao ndo wanaun'gan'gania muungano?Tanganyika watapoteza nini?
Usione ni rahis kuzima kama unavyozan wewe mkuu , kuna mambo mengi chin ya carpet huyo maguful kutoa kauli ni kutisha tu ,yaani kiburi chote kile kuwadharau watu wa bara, kumbe wanatumia umeme bila kulipa? tunawabeba hawabebeki, kwanini wasizime hata kesho?
Hakuna kitu kama hichoTanzania bara imeipa Zanzibar hadi mwisho wa mwezi wa tatu kulipa deni la Shilingi bilioni 121 ($ 57,000,000) ya bili ya umeme ambalo ni malimbikizo ya miaka kadhaa au kwamba kutumbukia katika giza.
Rais John Magufuli kuamuru wiki iliyopita kuwa visiwa hivyo kukatiwa umeme kutoka gridi ya taifa inayoendeshwa na Tanesco juu ya madeni. Hata hivyo, mazungumzo kati ya viongozi wa nishati wa pande mbili za serikali ya imesaidia kutokatiwa umeme huo haraka.
Mazungumzo hayo yalikuwa yakiongozwa na Waziri wa Tanzania wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo na Waziri wa Ardhi , Mazingira na Nishati wa Zanzibar Salama Aboud Talib.
"Mazungumzo niliyofanya na Prof Muhongo yameleta matunda . Lengo letu lilikuwa kupata njia ambazo Shirika la umeme Zanzibar (ZECO) linaweza kulipa deni hilo"alisema Bi Talib bila kufafanua.
======================
Tanzania mainland has given Zanzibar up to the end of the month to settle Tsh121 billion ($57 million) in power bills that have accumulated over the years or be plunged into darkness.
President John Magufuli ordered last week that the semi-autonomous archipelago be unplugged from the national grid run by Tanesco over the debt. However, talks between the two government’s energy officials led to the reprieve from immediate disconnection.
The talks were led by Tanzania’s Minister for Energy and Minerals Sospeter Muhongo and Zanzibar’s Lands, Environment and Energy minister Salama Aboud Talib.
“The talks I had with the Prof Muhongo were very cordial and fruitful. Our aim was to find ways in which the Zanzibar Electricity Corporation (Zeco) could settle the bill,” said Ms Talib without elaborating.
Payment plan A team of senior Zanzibar government officials met this week to chart out the possible means to settle the huge debt, and were given till March 30 to table their proposals to the Isles government. Technocrats in the ministries will now prepare a payment plan.
Tanesco supplies about 60 megawatts of electricity to Zanzibar for Tsh3.4 billion ($1.5 million) each month. The utility had threatened to cut off power to the Isles since 2014 but Zeco has been disputing the billing.
Last October, Tanzania's parliamentary Public Accounts Committee (PAC) raised concern over the alarming debt owed to Tanesco by Zanzibar. In a probe on the matter, it emerged that there was a dispute over the electricity tariffs charged on Zeco visa vis those levied on mainland customers.
Mkuu Nguruvi.. Heshima Saana mkuu..Wazanzibar hawajanikosea lolote
Ni kweli na ninasema wazi katika mengi hili la kulipa Bill namuunga mkono Magufuli
Kwa miaka mingi kumekuwepo na uongo Tanganyika wanainyonya Zanzibar kwasababu znz ina uchumi mkubwa sana dunaini. Hapa jamvini tume debunk na kuonyesha Zanzibar si lolote si chochote atika muungano ni liability, mzigo tu mzito
Kelele za za kudai haki hata isiyokuwepo. Mfano wanadai ajira za muungano wapewe upendeleo maalumu. Ajira za muungano ni za Tanganyika maana wazanzibar wameajiri hata maeneo yasiyo na muungano.
Sasa unapoomba msaada ukageuza kuwa ni haki hapo ndipo kuna tatizo
Halafu upendeleo maanalumu kwani wao ni akina nani.
Kwanini Kigoma yenye mchango katika taifa hili isipewe upendeleo huo, Znz waliobebwa wanataka upendeleo!
Kuhusu hili la umeme, ZNZ haijalipa bill kwa miaka 30 na imesemwa na mamlaka husika. Inapofikia watu na wake zao hawataki kulipa bili za umeme majumbani, ni aibu!
Lakini si hilo tu, bajeti ya znz inapata ruzuku ya kodi za Tanganyika ,watoto wa znz wanasoma bure kwa HESLB
Taasis za muungano znz hawana cha kulipa, ingawa taasisI kama ZMO wanakusanya pesa za meli.Yaani hata kile kidogo wanachokusanya hawataki kuchangia
Angalia, wabunge wa ZNZ wanakuja Dodoma na kulipwa na kodi za Tanganyika
Yaani SMZ haina pesa za kupia wabunge wake wanaokuja kwa uzanzibar tu
Kuna wizara znz haijui bajeti yake kwa miaka 50
Katika hali isiyo na stara, wznz ni wakwanza kuwatenga Watanganyika na kuwafanya ni Raia wabaya kuliko hata wa nchi jirani. Matanganyika ZNZ anaangaliwa kwa jicho la kinyaa
Bara, nusu ya wznz inaishi bila ubaguzi wa kitambulisho bila shaka wala wasi wasi
Hakuna ubaguzi wa kipuuzi wa kitambulisho.
Wakipanda meli mitusi inaanza , halafu hawana hoja yoyoye ya maana
Ni kwa msingi huo Watanganyika wanasema hewala, tumechoka, unabwebwa mgongoni halafu unataka ICE cream, please.
Lipeni bili za umeme , mkiachwa mtaomba mahari na posa mlipiwe na kodi za Tanganyika
Serikali isiyolipa bill ni fedheha, wananchi wasiolipa bili ni fedheha
Hapana! wakati umefika muwe asset katika muungano, kwasasa ni liability tu
Zile habari za 'tutavunja muungano' siku hizi hakuna, mkitaka mkae kwenu salama
Who cares!
Mkumbuke, Tanganyika kwa znz ni kisima, mtakuja kunywa maji, au kuchota ya kupikia, kufulia kama si kuoga. Mtaishi chini ya kivuli cha Tanganyika ni nature
Lipeni bili zenu, hata umeme mnataka bure! umeme jamani! sasa mnaweza nini katika muungano ! Yaani bili ya majumbani hamtaki ! hii ni aibu na fedheha