dullyhami
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 560
- 147
wakati wa mkapa hakukuwA na uasi kutoka zanzibar isipokuwa awamu ya sheikh jakaya kikwete.....
U.K.A.F.I.R.I wako ndio daawa ya maradhi yako....
wakati wa mkapa hakukuwA na uasi kutoka zanzibar isipokuwa awamu ya sheikh jakaya kikwete.....
Wizara hiyo ina wafanyakazi hewa wanaochukua mishahara tu na wasiijuwa kazi zao, wengi sana
Wachangiaji wanatoka chama gani?
Miaka 47 sasa hawatoa Mchango kugharamia Muungano , kumbe pesa wanayo? Kama pesa ipo Mbona hawalipi mishahara watumishi wao?hata posho Zimewashinda? Kila kitu Tanganyika ndio analipia ! Pesa za zenji wamehifadhi kwa ajili ya kununulia dhana za kivita kisha wazitumie kudai Uhuru wa kujitenga.