Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Sojawahi ona ngapiHata avater yako unaonekana wa Leo, vipi hapo Kinazi upepo, night club, na hiyo hoteli nyingine ya pembezoni show zinaendelea!? Maana nakumbuka mziki wa Maana ulikua unapigwa kila Alhamisi au j5 kama sikosei, na Vipi Mzee Raza anaendelea kufuga ngamia hapo Paje?
Disco ni jambo na vuvuuzela zingine wanapanda boti kwenda comoroooo usiku usiku skuhizi