Zanzibar safi!

Zanzibar safi!

Hata avater yako unaonekana wa Leo, vipi hapo Kinazi upepo, night club, na hiyo hoteli nyingine ya pembezoni show zinaendelea!? Maana nakumbuka mziki wa Maana ulikua unapigwa kila Alhamisi au j5 kama sikosei, na Vipi Mzee Raza anaendelea kufuga ngamia hapo Paje?
Sojawahi ona ngapi


Disco ni jambo na vuvuuzela zingine wanapanda boti kwenda comoroooo usiku usiku skuhizi
 
Sojawahi ona ngapi


Disco ni jambo na vuvuuzela zingine wanapanda boti kwenda comoroooo usiku usiku skuhizi
Aisee, kweli Znz mpya, Ngamia ulizia kwa MZEE Raza alikua anawafuga kama ng'ombe, asubuhi wanapelekwa malishoni jioni wanarudishwa nyumbani. Si zamani ni miaka miwili tu iliyopita ndio niliwaona.
 
Namimi ndo nimefika hapa Zanzibar saivi natafuta wapi nitapata kitimoto safiii...nielekeze mkuu
 
Back
Top Bottom