Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Zanzibar NI Nchi-Samia Suluhu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili


Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU
 
Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili


Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU
mbona iko waz!! Pia zaidi tu asisahau kuwa Tanganyika ni nchi ilo pata uhuru wake 1961, Tan zania ni muungano wa nchi mbili.
 
Nchi ina Rais na serekali yake utakataaje kuwa nchi anayo iongozi siyo nchi wakati ina katiba inayo ihalalisha nchi hiyo.
 
halafu mingese ya ccm haitaki nasi wabara tuwe na tanganyika yetu.
real ccm mmelaaniwa na alowalaani alishafariki, ivo nyie na uzao wenu mtakuwa na rahana milele
 
Zanzibar kama ni nchi mbona haina kiti maalum AU. nyie wazenji acheni kutudanganya kisa mmegundua mafuta basi mnajiona wajajanja kweli tukiwaacha mmarekani anakuja kuyakomba yote hatowaachia hata tone LA mafuta
 
Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.

Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.

Wanao kataa kuwa Zenji siyo nchi ni wale wanao wafunika watanganyika blanketi zito ili wasidai Tanganyika yao.
 
Hii sio Habari Mpya, wabongo tulilala tukapigwa bao

hatjapigwa bao, ata mkakati wa kuandika katiba mpya mambwa toka ccm yalidakia tu hayakuwa tayarikwa ilo.

tnataka tanganyika yetu na si ombi, tko m45 hawa mafisad m4 hawataweza ktuburuza, shime watanganyika tsikubali
 
Katiba ya Znz ipo wazi kabisa na imetamka HILO bila kificho KUWA ZNZ NI NCHI.

Hata mkikereka UKWELI NDIO HUO.

Binafsi mimi sikerwi kwa Zanzibar kuwa nchi, mna haki kabisa ya kuwa nchi kamili. Kinachonisumbua mimi ni kuwa na muungano baina ya nchi mbili ambapo nchi nyingine (Tanganyika) iliyofanya muungano huo haitambuliwi.
 
Mheshimiwa Waziri wa Muungani amehalalisha uhalali za Zanzibar kuwa HAKUNA Atahri kwa Zanzibar kuwa na Bendera, Wimbo wa Taifa etc kwa kuwa Zanzibar ni Nchi Kamili


Source: Taarifa ya habari ITV saa 2.00 USIKU

kwahiyo tanzania bara hakuna katiba;;;;;;;
 
Wanao kataa kuwa Zenji siyo nchi ni wale wanao wafunika watanganyika blanketi zito ili wasidai Tanganyika yao.

kwani nani anasema znzb sio nchi? mbona hii c hoja? wale wanaosema si nchi,watuambie lini znzb ilitangazwa kua mkoa au jimbo ndani ya tz?
 
Back
Top Bottom