Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,335
- 24,232
Kama kuna habari inakera, kufedhesha na kutia hasira wiki hii ni jinsi serikali ya Zanzibar ilivyoshughulikia suala la ndizi za mjane aitwaye Veronica Mwanjala.
Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.
Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!
Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.
Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.
Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!
Hili halikubaliki!
Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.
Kosa la Veronica ni kupeleka ndizi Zanzibar ili ajikimu kimaisha yeye na watoto wake. Kilichotokea pale bandarini ni maelezo yanayo ashiria hisia za kibaguzi dhidi ya watu wa Bara.
Tunaambiwa eti Veronica ndizi zake hazihitajiki soko la Zanzibar, mara zina vidudu, mara hazina vibali, na faini ya elf 50 juu!
Suala hili ni dogo lakini limeleta hisia za kibaguzi kutoka kwa wazanzibari, tena serikali, dhidi ya Watanzania bara.
Wote tunaelewa jinsi wazanzibari na wapemba wanavyovumiliwa kwa mengi hapa Bara na hawachukuliwi kama raia wa nje kama ipasavyo.
Mnaya zaidi serikali ya Zanziba na waziri wake wamemfanyia uharamia mama mjane!
Hili halikubaliki!
Mwenye namba ya Veronica Mwanjala atupatie ili JF tuanze mchango wa kurejesha mtaji wa huyu mama aliyedhulumiwa.