Zanzibar: Mkuu wa Mkoa, Muuguzi wajibizana baada ya Mzazi kujifungulia nje ya mlango wa Kituo cha AFYA

Mimi kwa kumsikiliza anavyojibu, naona dhahiri hata kwa wagonjwa itakuwa ni mwendo wa kuwakaripia na kujibu hovyo.
Kubadili nguo kunachukua muda gani, ilhali unasikia sauti nje za watu ambao unajua wapo hapo kupata huduma?
Ningekubaliana naye kuwa kapitiwa na usingizi, kutokana na uchovu na kufanya kazi muda mrefu, pengine hakuwasikia. Lakini kubadili nguo, moaka mtu anajifungua mwenyewe, hapo ndipo ninapoona kuna shida.
Sikiliza kwa makini utagundua kuwa hata ndugu wa mgonjwa walimfata muuguzi na usafiri that means hakai karibu na hospital,
 
ukweli ni kwamba wanakosea kama binadamu lakini sababu kubwa ni ugumu wa mazingira ya kazi, mtu ambaye anaishi mijini hawezi kuelewa hawa watu wa huko vijijini wanapata shida kiasi gani
Wauguzi ni jeuri sana. Wanajiona so special. Akifika mgonjwa huona kama suala la kawaida.

Niliwahi kumpeleka mtoto aliyeungua maji hospital kama saa 2 usiku. Nilipofika wodi ya watoto hakuna muuguzi ofini wala wodini. Nikaenda niulizie wodi ya wanawake nikaambiwa niende wodi ya watoto muuguzi atakuja.

Nilikaa nusu saa hakutokea. Nikamfuata yule muuguzi wodi ya wanawake. Nikaambiwa mimi ni msumbufu nikasubiri hukohuko wodi ya watoto.
Ikapita nusu saa nyingine. Nukamfuata yule mama ambaye majibu yake yalionesha anajua mwenzie alipo. Ilisemekana akienda wodi ya wanaume ambako nilifuata kimyakimya hakuwepo.

Nikatishia kuondoka na mgonjwa. Ndipo akatafutwa, akaja. Uwezo wa ku handle case ukawa mdogo. Ni baada saa la 2 ndipo aliitwa daktari. Ilikuwa mtoto amechelewa kupewa japo kutundikiwa maji yamsaidie kuishi. Mtoto alikufa.

Kifupi niligundua alikwenda kudanga wakati wa kazi. Wakifichiana siri.

Nina matukio kadhaa likiwemo la kushuhudia mama anajifungua kwenye benchi akisubiri nesi ambaye anahangaika kutafuta funguo hazionekani.
 
Alikua akibadili nguo,nguo gan hizo magwanda ya jeshi?mpaka mama anajifungulia mlangoni?

Je ni ipi sababu ya muuguzi kufanya kazi masaa 24???

Hapo amekua na kiburi sababu amejiona yeye ni bora na hakuna mwingine wa kuweza kufanya kazi kama yeye
 


Katika hali isiyokuwa ya kawaida kumeibuka majibizano makali baina mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba pamoja Muuguzi wa kituo cha Afya Junguni kilichopo wilaya ya Wete mkoani hapo.

Majibishano hayo yamekuja kufuatia kuwepo kwa taarifa za mzazi kujifungulia nje ya mlango wa kituo hicho tukio lililotokea Septemba 04 usiku wakati mzazi huyo alipofika kituoni hapo kwaajili ya kujifungua.

Kwa mjibu wa taarifa, inaelezwa kwamba wanajamii walimfikisha mama huyo kituoni mapemba na kumkuta mkunga huyo aliyefahamika Nenea Omar lakini walishindwa kupokea huduma sitahiki jambo lililopelekea mzazi kujifugua akiwa mlangoni mwa kituo hicho.

Akiwa katika kituo hicho kwaajili ya kufuatilia tukio hilo kulitokea mabishano baina ya mkuu wa mkoa huo Salama Mbarouk Khatib na muuguzi huyo.

Kwa mujibu wa muuguzi huyo amekanusha taarifa za kwamba tukio hilo limetokana na uzembe wake na kubainisha kwamba wakati mzazi huyo anafikishwa kituoni alikuwa ndani anabadilisha nguo kwaajili ya kujiandaa kuingia kazini upya kutokana na anafanya kazi saa 24 bila kupumzika.
Huyo ni kufukuzwa kazi haraka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Na hiyo ndio wanasiasa wanaichukulia advantage,na kwasababu wameshaona watanzania mbumbumbu na wagumu kufikiri nasi wanashikilia hapo hapo
Kufanya kazi masaa 24 sio kitu kidogo,sema tu sisi wananchi tunapenda kulalamika sana bila kuangalia upande wa pili.

Kwa hiyo akifanyakazi masaa 24 ndiyo afanye ukaidi hata kwa viongozi wa serikali? Kwani angeongea kwa staha akaelezea hiyo kero yake wasingemsikiliza? Hana adabu kabisa!
Huyo kiongozi wako angetaka staha asingekuja na makamera hapo

Mnafanya mambo ya kijinga kutafuta political popularity nguruwe nyie

Na majukumu ya vyama vya wafanyakazi ni yapi ama TANNA kwani asiende akishtaki huko
 
Huyu Muuguzi hana adabu kwa Kiongozi wake...Ni kweli wanasiasa wana mambo yao na uonevu upo pia lakini huwezi kumjibu hivyo kingozi wako.

Kingine kwa Mkuu wa Mkoa au Serikali ya Zanzibar jameni angalieni hizo kuta ....Hivi kweli hata rangi ya kupaka mnashindwa?? Ili na Muuguzi awe na Mazingira mazuri ya kazi...Pengine maukuta hayo machafu ndio yanasababisha Muuguzi aone aah potelea pote...
Komaeni mnataka vya bure si hamtaki tozo ndio raha yake hiyo.
 
Hii ndio madhara ya kujenga vituo vingi bila kuajiri wahudumu, inaonekana kituo kina muhudumu mmoja alafu huyo mzazi kacheleweshwa kufika kituoni ndio maana kafika akiwa kwenye hatua za mwisho kujifungua. Huyo mkuu wa mkoa analeta siasa tu hapo wakati tatizo liko wazi
Vingekuwa vichache angejifungulia nje hata nafasi asingepata.

Mume wenu alikuwa haajiri mbona hamkushauri
 
Wauguzi ni jeuri sana. Wanajiona so special. Akifika mgonjwa huona kama suala la kawaida.

Niliwahi kumpeleka mtoto aliyeungua maji hospital kama saa 2 usiku. Nilipofika wodi ya watoto hakuna muuguzi ofini wala wodini. Nikaenda niulizie wodi ya wanawake nikaambiwa niende wodi ya watoto muuguzi atakuja.

Nilikaa nusu saa hakutokea. Nikamfuata yule muuguzi wodi ya wanawake. Nikaambiwa mimi ni msumbufu nikasubiri hukohuko wodi ya watoto.
Ikapita nusu saa nyingine. Nukamfuata yule mama ambaye majibu yake yalionesha anajua mwenzie alipo. Ilisemekana akienda wodi ya wanaume ambako nilifuata kimyakimya hakuwepo.

Nikatishia kuondoka na mgonjwa. Ndipo akatafutwa, akaja. Uwezo wa ku handle case ukawa mdogo. Ni baada saa la 2 ndipo aliitwa daktari. Ilikuwa mtoto amechelewa kupewa japo kutundikiwa maji yamsaidie kuishi. Mtoto alikufa.

Kifupi niligundua alikwenda kudanga wakati wa kazi. Wakifichiana siri.

Nina matukio kadhaa likiwemo la kushuhudia mama anajifungua kwenye benchi akisubiri nesi ambaye anahangaika kutafuta funguo hazionekani.
Seems wana stress hivi wengi wao wanafanya Kazi ilimradi lakini siku zote Kazi ngumu ndivyo huwa zinakuwa.
 
Kabisa hiyo ni moja wapo, unaweza shangaa hata mshahara halipwi kwa wakati, overtime , posho na hana hata vifaa vya kutendea kazi na kujikinga. Lakini anakuja kiongozi na waandishi wa habari kama vile anatakiwe akae kimya akubali kudhalilishwa ili kiongozi aonekane anachapa kazi.
Amesema anafanya kazi 24H

Kwa hiyo akifanyakazi masaa 24 ndiyo afanye ukaidi hata kwa viongozi wa serikali? Kwani angeongea kwa staha akaelezea hiyo kero yake wasingemsikiliza? Hana adabu kabisa!
Kwani kiongozi wa serikali ndio yuko right muda wote? Kwanini hakumuuliza kwa utaratibu na vile vile kuangalia mazingira yake ya ufanyaji kazi, yeye kaenda na wandishi wa habari akiwa kaisha muhukumu. Lengo lake ni kuonyesha anafanya kazi. Viongozi nao waache kutafuta sifa za kijinga. Muuguzi yuko sawa.
 
Kabisa hiyo ni moja wapo, unaweza shangaa hata mshahara halipwi kwa wakati, overtime , posho na hana hata vifaa vya kutendea kazi na kujikinga. Lakini anakuja kiongozi na waandishi wa habari kama vile anatakiwe akae kimya akubali kudhalilishwa ili kiongozi aonekane anachapa kazi.



Kwani kiongozi wa serikali ndio yuko right muda wote? Kwanini hakumuuliza kwa utaratibu na vile vile kuangalia mazingira yake ya ufanyaji kazi, yeye kaenda na wandishi wa habari akiwa kaisha muhukumu. Lengo lake ni kuonyesha anafanya kazi. Viongozi nao waache kutafuta sifa za kijinga. Muuguzi yuko sawa.
Kosa la mkuu wa mkoa kuhoji liko wapi? Nidhamu kazini! Kwani kama angejieleza tu vizuri kingekuwa na shida gani? Ashukuru tu huko ni Zanzibar ingekuwa bara sasa angekuwa ananyea ndoo!
 
Kosa la mkuu wa mkoa kuhoji liko wapi? Nidhamu kazini! Kwani kama angejieleza tu vizuri kingekuwa na shida gani? Ashukuru tu huko ni Zanzibar ingekuwa bara sasa angekuwa ananyea ndoo!
Si wabara wamezoeshwa nidhamu za uoga na unafiki mwingi, jitu linashindwa hata kutetea haki yake. Tuache huu upuuzi, yaani kwakuwa ni kiongozi basi yuko right...unamkumbuka Mkurugenzi Wa Maendeleo Geita, aliye tuhumiwa kununua VX la 400m, angekuwa kama wewe unavyotaka angekuwa wapi leo?
Tujifunze kujisemea kwenye haki zetu bila kuogopa.
 
Kosa la mkuu wa mkoa kuhoji liko wapi? Nidhamu kazini! Kwani kama angejieleza tu vizuri kingekuwa na shida gani? Ashukuru tu huko ni Zanzibar ingekuwa bara sasa angekuwa ananyea ndoo!
Mbona kajieleza vizuri tu! Mgonjwa kaletwa yeye hayupo, halafu huyo mkuu wa mkoa anajiona mungu mtu eti ntakuchukulia hatua, bi mdashi kajibu chukua
 
Back
Top Bottom