Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Vijana waishio eneo la Kikwajuni wamekutwa wakivuta madawa ya kulevya hadharani, hii inatokana na kasi kubwa ya vijana wa Kizanzibari kujihusisha na madawa ya kulevya. Taarifa hii imeonyeshwa na TBC 1 saa 2 usiku. Inasikitisha sana, ningemshauri mwandishi atembelee na eneo la MIKUNGUNI.