JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,187
Kama mlitaka amfunge Magufuli mngemteua agombee ila kwa vile mlipenda pesa kuliko maono, mwacheni naye afaidi matunda ya vita ya ufisadi aliyopigana kwa zaidi ya miaka 20!Slaa: Nikiwa rais namuweka Magufuli ndani kwa kuuza nyumba za serikali.
Slaa: Nchi haitatawalika
"Nakushukuru sana mheshimiwa rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa miongoni mwa wasaidizi wako katika kuendeleza Tanzania ya viwanda. Naahidi kuwa nitafanya kazi kwa maarifa yangu yote na uwezo wangu wote" Slaa