Zanzibar kwa vituko, lol

Tanga nao vip?. Dunia imekwisha jamani.

Usisingizie dunia kwisha... Dunia bado haijakwisha, kila mtu ataikuta na kuiacha kama ilivyo.

...tuache tu kuiga mila potofu. Mtu anakwenda kutembea zanzibar au mombasa anakuta wenyeji wanakamatishana ukuta, moja kwa moja anakwenda kuiga akifikiria hayo ndio maendeleo.... au kama wasemavyo, "kwenda na wakati". Toba..!!!!

:deadhorse:
 
umeenda mbali kaka, rudisha moyo wa imani
 
Kuna watu wanapenda kuanzisha thread bila hata ya mpangilio.
 
Mkuu Max wacha uchokozi. Wazanzibari wastaarabu bwana.
 
Mshikaji wewe mi uzao wa watumwa wale legelege walioachwa hapo? maana wenye afya waliendelea na safari

Legelege descendants wa legelege!!!! Mababu waliosalia Tanganyika enzi hizo ama walimshinda mwarabu kwa nguvu au kwa kasi ya kukimbia.
 
Nadhani hapa ndipo pale wanapopaita KIEMBE SAMAKI, kama nimekosea itakuwa ni MICHENZANI.
<div style="text-align: center;"><img src="http://i.hangisinegitsek.com/Galery/410/4_14927_0_z38.jpg" border="0" alt="" /><br />
</div>
<br />
<br />
 
Maalim, kuwa mpole kidogo yakhe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…