Zanzibar Kumekucha


Umoja ni nguvu ikiwa wote mnajenga kitu kimoja. Lakini kama mmoja anajenga kitu chake kwa kutumia fito za wote inakuwaje? Zenj hawatumii tu fito za wote ila wanachomoa fito zilizojengwa kwenye nyumba. Kwa mfano walidai wapeperushe bendera yao - wakapata; wakataka wimbo wao - wakapata. Walipobadili katiba ili wajitenge zaidi wakasema Znz ni nchi. Hapa wakavunja katiba ya muungano kwa waziwazi ila mkuu wa nchi amawanyamazia. Hapo kuna muungano?
 
HAWA wamanga tuwaacheni wajitenge! kwanza wamekuja bara kutuletea udini, ubaguzi majungu, nothing more!!
Wabaguzi, wadini wapenda majungu, wavivu yaani their just a chaos to us!!
Mkuu.

Umeamua kutuchekesha!

Yaani Dr. Bilal ni mmanga? Dr. Ali Shein ni mmanga?
Mzee Aboud Jumbe ni mmanga? Karume senior na junior ni wamamnga?

Ubaguzi? wewe unafanya nini katika huu mchango wako?

Wavivu?
Wengine wanalalamika kuwa Wazenj wamejaa Tanganyika wanahodhi ardhi, wanafanya biashara,wanajenga majengo Kariakoo.... kama huu wanaofanya ni uvivu basi ni kitu ambacho kinafaa kuiga.
 


Mkuu unakuwa kama mgeni na issue zinazohusu muungano? Zingatia haya;

  1. Mara ngapi ile kamati iliyochini ya Makamu wa Rais na waziri kiongozi(kabla ya marekebisho ya katiba zenji) walikaa na kutudanganya kuwa mapungufu yanafanyiwa kazi na hatuoni mabadiliko?
  2. kwanini bado watanzania mnapenda kuendelea kudanganywa kwa mambo yaliyowazi?
  3. Kwa hakika mapungufu ya Muungano HAYAZUNGUMZIKI tusidanganywe na viongozi wasio waadilifu na wasio litakia mema taifa hili..
  4. Kama bado tunaupenda Muungano hatuna budi kubadilisha mfumo wake hasa katika serikali...
Mimi naupenda Muungano but wanzanzibar wanakera mno,chokochoko nyingi wakati kiuchumi bado wako hoi....kama tunataka kuendelea nao tufanye mchakato wa kuwa na serikali tatu...FULL STOP...
 

Mheshimiwa Spika naunga mkono hoja asilimia 100!!! Wale wanaosupport muungano ni vema wakazungumzia aina ya muungano. Huu wa nchi mbili umekwisha kufa. Wa nchi moja hautawezekana kwa sababu watu wamejaa ubinafsi.
 
Nchi kibao hazijaungana na zimeendelea, kama ni ishu ya kiusalama, kwani sasa ndio tuko salama. Kuusu uchumi wa zanzibar kuna nchi nyingi tuu zimeendelea bila kuwa na natural resource kama za kwetu, hivyo hawana cha kupungukiwa, watajipanga tuu. Nashangaa eti viongozi wetu waliunganisha nchi bila dhini yetu alafu wanaanza kutulazimisha tuone faida zake.
 
Nitafurahi sana wanzanzibar mkifunja muungano maana nitakuwa wa kwanza kuhakikisha mnarudi kwenu haraka na kuachia mashamba,maduka mrudi kwenu maana mnazaa zaa 2,m2 m1 watoto 24,rudin kwenu mna2jazia nchi ye2.
 
Mkuu.
Mimi ni mpenda Muungano lakini huu wetu sisi si Muungano ni a big mess.
Pia sikubaliani na dhaya ya Tanzania kuwa ni nchi moja.

Kama ni wakweli. Muungano uliitwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Muungano ulipewa mamlaka fulani kutoka kila upande.Tanganyika ilitowa mamlaka fulani na Zanzibar ilitoa mamlaka fulani kuyaweka chini ya mamlaka ya Muungano.

Tanganyika ilibakisha mamlaka fulani na Zanzibar ilibakisha mamlaka fulani.

Hii ilifanya kuwepo mamlaka tatu katika nchi mbili. Mamlaka ya Tanganyika, Mamlaka ya Zanzibar na mamlaka ya Muungano.
Vipi Tanzania imekuja na kuwa nchi moja..it is beyond any one's explanation.

Kama una maelezo au uelewa tofauti na huu kuhusu muungano uweke wazi hapa.

Vipi Tanganyika imepotea mimi sana maelezo, sifahamu kivipi imepotea....ninachokiona ni woga wetu wa kutaja Tanganyika , badala yake tunasema Tanzania au Tanzania bara. Kuna mambo ya Tanganyika aka Tanzania bara na wizara zisizo za Muungano, au vipi?

Udhaifu huu unatufanya tuwalaumu Wazanzibari kuwa hawataki nchi moja na serikali moja. Nani amechafua Muungano? nani amefuja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

Kwa uelewa wangu viongozi wetu wa Tanganyika ndio wamecheza mchezo mchafu. Wapi wameipeleka Tanganyika hata kuitaja kwa jina hawataki. Hata siku ya uhuru wanasema uhuru wa Tanzania au Tanzania bara.

Wapi umeona au umesikia nchi zinapoungana zinapotea au majina yao ya zamani yanafukiwa kaburini? That happens only to one country, Tanganyika...why?
Mbona hawa Wazanzibari wanayo Zanzibar?

Tusiwe wanafiki, tuseme ukweli. and truth will set us free!!
 

Luxembourg is one of the smallest countries in Europe, and ranked 175th in size of all the 194 independent countries of the world; the country is about 2,586 square kilometres (998 sq mi) in size, and measures 82 km (51 miles) long and 57 km (35 miles) wide. It lies between latitudes 49° and 51° N, and longitudes 5° and 7° E.

At 947,300 km²,[21] Tanzania is the world's 31st-largest country. Compared to other African countries, it is slightly smaller than Egypt and comparable in size to Nigeria. It lies mostly between latitudes 1° and 12°S, and longitudes 29° and 41°E.

Watu hapa wanadanganywa na politics za mkoloni kwamba mkiuungana ndo mnaendelea zaidi.
Ulaya kwenyewe kila kabila limejitenga na nchi yake, harafu wanakuja kuwazuga eti muungane. Angalia hako ka nchi kama wilaya ya misungwi kanavyofanya maajabu ktk uchumi.

Uchumi unajengeka kama political climate imetulia kwa kutengena ktk nchi ndogo ndogo ambamo ndani ya hiyo nchi ndogo wote mnakuwa na mtazamo unaolingana na mchapuko chanya wa kimienendo. Baada ya kuwa na harmony ktk nchi ndogo ndo mnaangalia kuungana kutengeneza central gov,if any.

Vingine achwa tupigwe mchanga wa macho na muungano wa KIHUNI.
 
[FONT=Times,Times New Roman]"Without any question, the manner and the implications of the union between Tanganyika and Zanzibar is the most misunderstood aspect of Tanzania's political development. It may not matter very much when foreigners get confused, but unfortunately there are many times when Tanzanians themselves appear to misunderstand it."[/FONT] [FONT=Times,Times New Roman]Former Tanzanian President Julius Nyerere.[/FONT][FONT=Times,Times New Roman]Dar es Salaam Government Printer, July 1970. p. 3.
KAMA NYERERE NDO ALIKUWA ANAUELEWA HUU MUUNGANO-NA YEYE HAYUPO-NI BORA TUUVUNJE-HATUWEZI KUFWATA KITU AMBACHO HATUKIELEWI-NDIO MAANA KINATUCHAGANYA HIVI
[/FONT]
 
Nitafurahi sana wanzanzibar mkifunja muungano maana nitakuwa wa kwanza kuhakikisha mnarudi kwenu haraka na kuachia mashamba,maduka mrudi kwenu maana mnazaa zaa 2,m2 m1 watoto 24,rudin kwenu mna2jazia nchi ye2.

Hapa umeacha hoja na kuingiza chuki binafsi
 

Now you are talking!

Nyerere aliamini ana akili ya kufahamu vitu kuliko mtanganyika yeyote au mzanzibari yeyote.

Well, amekufa na ufahamu wake wa Muungano na ametuachia fujo tu!

Ni vyema kama yeye alipoamua kuvunja EAC basi na sisi tuuvunje ili hapo baadae tukiona umuhimu wa Muungano tutauundwa upya bila ya ubabaishaji na ujanja ujanja.
 
Kwa mtazamo wangu hizi chokochoko hazitaisha, hata kama wakipiga kura, na wanaotaka muungano kuvunjika wakawa wachache, siku itafika watadai kwa nguvu tu.Hii ni hatari kwani hao wachache wataendelea kumwaga sumu kwa wengine.Ni kama ilivyokuwa madai ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1992....wale wachache (20%) waliotaka vyama vingi wangelikataliwa...hali isingetulia mpaka wangekuja dai haki yao kwa nguvu.Hii hata kwa zanzibar inaweza ku-apply....nafikiri tuwaache waamue hatma ya nchi yao...mimi nimekaa na wazanzibari wa kawaida karibu wote walionesha kutoutaka muungano, wamekuwa ni watu wa kulalamika kila wakati...wanaona tunawanyonya...hata katika masomo wakifeli wanaona wanaonewa...juhudi hawana, hawapendi kufanya kazi kwa kujituma...jamani tuwaache waondoke kwa amani...dar si mbali watakuwa wanakuja kutusalimia...bara hatutapoteza kitu...tuna natural resouses kibao, virgin ardhi kubwa, misitu, mito, madini, mafuta,gesi, wanyama. Kama tutaacha ufisadi..na kulitumikia taifa kwa moyo wote huku serikali ikilipa watumishi malipo bora...tutapiga hatua kubwa sana kimaendeleo ndani ya muda mfupi tu.
 
Hao wanaosema hawautaki muungano ni wale vikaragosi vya sultan Jamshid anaetaka kurudu kwa mlango wa nyuma ; kwani mwanae wa nje amepata madaraka sasa huko Zenj!!
 

Ndo maana nasema wote wanopenda muungano waunge mkono hoja ya serikali tatu. Mchakato wa katiba ndo huo unaanza
 
Hapa umeacha hoja na kuingiza chuki binafsi

Ni chuki zao ndo zinawafanya wahc 2nawanyonya,umeshawah kuona wabara wanavyonyanyaswa Z enji? Baa zao zinachomwa,je umewah kuckia duka la mpemba limechomwa moto Dar au Mby?
 
mimi nashindwa kuelewa-viongozi wanang'ang'nia kuwa mwalimu alisema muungano ukivujwa..sijui kutakuwa na hili na hili...na maneno mengine mengi tu yakutisha.Mi naona ule ni mtizamo wake yeye mwalimu-mbona kuna union nyingi zimeshavujwa hapa duniani regardless onyo zilizotolewa na waasisi wake-kwa nini sisi huu tunasita kuuvunjwa?huu ni woga wa kipumbavu-wakumbuke hata Statue of Zeus ilivunjwa bila kujali power zake
 

Hivyo unaweza ukatwambia Rais wa ulaya nani? na Muungano huo unaitwa jina gani? Halafu ndugu yangu kwanini hatutaki muungano wa kisiasa na wenzetu wa Afrika mashariki? Na hili unalolifikiria kuwa huko bara kuna wakristi watupu umelipata wapi?
Eti unaitaka Sudan ya Kusini sijui unajuwa imetokana vipi. Naona mawazo yako ni msongo tu wa mawazo angalau hili la kusema kuzungumzika matatizo ya Muungano linaweza kuleta maana kidogo LAKINI kwa mitazamo ya wengi huko bara kuuhusisha Muungano na ukubwa wa sehemu moja na udogo wa nyengine nahisi mazungumzo yatakuwa magumu.
 
Niko pamoja nawe mkuu. Aliyekufa ameshakufa na mahitaji yetu sasa hayawezi kuwa sawa. Ukweli ni kuwa mimi sikioni kipi kinachopatikana na pande mbili hizi iwapo tunakinzana kila siku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…