ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,136
- 50,826
Zanzibar imeingia makubaliano na kampuni kutoka Australia Ili kuanza Kuzalisha umeme wake Yenyewe.
Mradi huo wa Nishati safi ya Jua utagharimu Shilingi Trilioni 3 na utakapokamilika unatarajia Kuzalisha megawatt 450.
Hongera Zanzibar Kwa hatua hii ,
View: https://www.instagram.com/p/C1KgRJlopYd/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Mradi huo wa Nishati safi ya Jua utagharimu Shilingi Trilioni 3 na utakapokamilika unatarajia Kuzalisha megawatt 450.
Hongera Zanzibar Kwa hatua hii ,
View: https://www.instagram.com/p/C1KgRJlopYd/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==