Zanzibar Independence day 10 December

dos.2020

JF-Expert Member
Feb 17, 2009
9,547
7,846
Hii siku wana CCM na washirika wao wanaikwepa sana.

Happy Independence Day !!!

GA71L9cXAAAsEEn.jpg
 
hii siku wana CCM na washirika wao wanaikwepa sana.

Happy Independence Day !!!

View attachment 2838655
Haaiogopi, wanailani. Ndiyo siku Mkoloni alipotaka kukamilisha biashara ya utuma. kunawa mikono kutukabidhi utumwani. Hata mwezi haukupita Mashujaa wakapindua. Nasikia CHADEMA wanasema tusherehekee Tanganyika tar 9 Des na Zanzobar 10 Des kumkumbuka Sultani na Shamte.
 
Haaiogopi, wanailani. Ndiyo siku Mkoloni alipotaka kukamilisha biashara ya utuma. kunawa mikono kutukabidhi utumwani. Hata mwezi haukupita Mashujaa wakapindua. Nasikia CHADEMA wanasema tusherehekee Tanganyika tar 9 Des na Zanzobar 10 Des kumkumbuka Sultani na Shamte.

Unasikitisha sana
 
Back
Top Bottom