mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Kilichotokea Uingereza kwa Scotland kukubali kuendelea kuungana na UK ni kitendo kizuri cha kuigwa na Zanzibar. Katika dunia ya leo wakati mataifa yanaungana ili kupata nguvu ya kushindana kiuchumi si muda wa kufikiria kutengana hata kidogo.
Wazanzibar mnatakiwa kufahamu UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU..
Wazanzibar mnatakiwa kufahamu UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU..