Zanzibar Dolphin Tour

Zanzibar Dolphin Tour

Joined
Jun 20, 2019
Posts
11
Reaction score
5
Jumuika nasi tarehe 12 August 2019 kwa ajili ya safari ya kwenda kuwaona dolphin wakiwa baharini na kuogelea nao 😃
Makutano ni Forodhani Park, Zanzibar saa 1 kamili Asubuhi!
Bei ni 25,000 tu kwa mtu,kwa raia wote wa Afrika Mashariki.

Bei inajumuisha Usafiri wa kwenda na kurudi Mjini Stonetown, malipo ya hifadhi pamoja na boti.
Mwisho wa Kupokea booking na malipo ni tarehe 11 August.

Unaweza kutembelea ukurasa wetu wa Instagram @zanziquest kwa ajili ya picha za trips mbali mbali.

Safari inaanza asubuhi mapema saa moja nanusu kuondoka Mjini na kurudi tunategemea iwe saa 6 - 7 mchana.

Kwa maelezo zaid wasiliana nasi kwa njia ya whatsapp +255 672 728 871 au tutumie email reservation@zanziquest.com.

TUTEMBEE!!
 

Attachments

  • 2018_0823_070050_086[1] (1).mp4
    18.3 MB
Dah! Hiyo bei mbona ndogo sana, tatizo kwa bei ndogo hivyo mtasongamana hadi isiwe raha tena, ila shukrani tarehe 12 ni karibu sana, siku chache za kujiandaa haswa kwa sisi wa mbali huku.

Habari mkuu,

Moja kati ya faida ya kufanya group trip ni ku share cost na wengine na ndio maana bei iko chini.

Kutakuwa na Limited Seats, ambazo ni 21 seats only, tukikamilisha idadi hio tutasimamisha kupokea booking.

tutatumia usafiri wa Bus moja (ikiwa wamefika watu 21), lakini tukifika sehemu ya kupanda boat, tutachukua boat 3 na kuelekea safari ya baharini kwenda kuwaona.

I am sure everyone will enjoy it 🙂

Ukihitaji kufanya private tours na excursions pia tunaweza ku organize.

Zanziquest tunahamaisha utalii wa ndani, na sio wengi wenye muamko wa kutembelea vivutio tulivozawadia na Nature 🙁
 
25k tu
Nakuja
Ni Muhimu kujihakikishia Seat yako mapema. Unaweza kutembelea ukurasa wetu wa instagram @zanziquest au unaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja kupitia +255 672 728 871, namba inapatikana kwenye whatsapp pia.
 
Habari mkuu,

Moja kati ya faida ya kufanya group trip ni ku share cost na wengine na ndio maana bei iko chini.

Kutakuwa na Limited Seats, ambazo ni 21 seats only, tukikamilisha idadi hio tutasimamisha kupokea booking.

tutatumia usafiri wa Bus moja (ikiwa wamefika watu 21), lakini tukifika sehemu ya kupanda boat, tutachukua boat 3 na kuelekea safari ya baharini kwenda kuwaona.

I am sure everyone will enjoy it 🙂

Ukihitaji kufanya private tours na excursions pia tunaweza ku organize.

Zanziquest tunahamaisha utalii wa ndani, na sio wengi wenye muamko wa kutembelea vivutio tulivozawadia na Nature 🙁

Shukrani, nimekuelewa..
Hayo ya group tours husaidia sana kwenye kushusha gharama na pia huwa raha maana mpo wadau kadhaa, huwa tunayafanya sana huku Kenya, na mara nyingi huwa tunakuja hadi Tanzania, hususan msimu wa Krisimasi.
Hongereni sana, endeleeni kuandaa tutaanza kujiunga humo.
 
Dah! Hiyo bei mbona ndogo sana, tatizo kwa bei ndogo hivyo mtasongamana hadi isiwe raha tena, ila shukrani tarehe 12 ni karibu sana, siku chache za kujiandaa haswa kwa sisi wa mbali huku.
Aisee kuna watu humu hawajitambui wapo kundi gani Wallah. Ingeliwekwa Laki1 ungelisema Khali sanaa, sasa elfu25 unasema Rahisi. Imewekwa hivo kwasababu tunafahamika kipato cha wa east africa ni duni sana. Sasa wewe unalalama. Dah bana wee ukizowea shida ni shida tu.
 
Back
Top Bottom