Amenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini ?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa Ccm inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
Amenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini ?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa Ccm inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
Ana maanisha sultan seif Sharif Hamad bin qaboos akishinda(japo hawezi kushinda) Zanzibar itarudi chini usultani Kama enzi zileAmenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini ?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa Ccm inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
Kaongea ukweli mtupu.. Muungano uliopo kwasasa ni wa kisiasa tuuAmenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini ?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa Ccm inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
Hapa ndio tunakosea lakini kuna siku jibu litapatikanaKaongea ukweli mtupu.. Muungano uliopo kwasasa ni wa kisiasa tuu
Jr
Muungano feki na kiinimacho, nchi moja ndo inaamua raisi wa nchi nyingineKasema hivyo kwa kuwa vipo vyama vyenye ajenda ya siri ya kuvunja muungano wetu adhimu.vikipewa nchi vitavunja muungano.
Mbona Sasa inarudi kwenye usultani mpya unaoitwa Mwinyi au usultani wa seif mbaya kuliko huu wa Hussein.Ana maanisha sultan seif Sharif Hamad bin qaboos akishinda(japo hawezi kushinda) Zanzibar itarudi chini usultani Kama enzi zile
Kwani lazima huu muungano uwepo? Najaribu kuwaza nitakosa nini kama usipokuwepo muunganoLabda tu tuseme rais amekuwa mwepesi wa kuliongea hili. Lakini naafikiana naye 100%
Hii inatokana na jinsi nilivyosiobserve siasa za upinzani na tabia za baadhi ya watu wa zenji wanaoamini kuwa Muungano umeifilisi zenji na kuitajirisha bara. Katika hili namwona maalim kama ni mmoja wao. Naamini rais ameliona hilo ndiyomaana amelisema.h
Kwa nini huwa mnauogopa ukweli?Hata mimi nimeshangaa. Anajaribu kutwambia kuwa ni lazima Rais atoke CCM hata kama hakuchaguliwa ili muungano uendelee! Wapinzani wasipopata tume huru, CCM itatukalia shingo mpaka mwisho wa dunia. Hiki ndicho wapinzani wasichojua. Watafute Tume huru kwanza.
KOTI LIKIKUBANA!!!!.......Amenukuliwa leo Dodoma
Hivi maneno haya yanaashiria nini ?
Hivi Muungano si suala la kikatiba?
Inamanisha kuwa Ccm inaufanya muungano kama ndege wa kufuga?
Kasema hivyo kwa kuwa vipo vyama vyenye ajenda ya siri ya kuvunja muungano wetu adhimu.vikipewa nchi vitavunja muungano.