talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,101
- 2,051
Kujifunza tabia njema ili akirudi uraiani awe raia mwema!Kwa hiyo anaenda chuo cha mafunzo kujifunza nini? Namna ya kubaka vzur?
Kujifunza tabia njema ili akirudi uraiani awe raia mwema!Kwa hiyo anaenda chuo cha mafunzo kujifunza nini? Namna ya kubaka vzur?
Kuna chuo cha kuweza kuibadilisha tabia ya mtu kweli?Kujifunza tabia njema ili akirudi uraiani awe raia mwema!
Yaani unalipa laki mbili tu.
Unaongea kuhusu Laki, Afadhali mutunyonge, ~Makhoha.
Abeid Karume kwa huku Zanzibar alisema Jela zisiitwe Jela (prisons) bali ziitwe Vyuo vya Mafunzo (Offenders Education Centres), na wafungwa waitwe wanafunzi...kwa hiyo hata sheria inatumbua kuwepo vya vyuo vya mafunzo na sio magereza/jela. Sababu yake kubwa alisema kuwa jela ni sehemu ya wahalifu kwenda kujifunza tabia njema kwa hiyo yapaswa kuitwe chuo cha mafunzo. kwa hiyo zenji tuna vyuo vya mafunzo na sio jelaKuna chuo cha kuweza kuibadilisha tabia ya mtu kweli?
Awekwe tu jela ijulikane.
Jela zote lengo lake ni kurekebisha tabia ,Kwa hiyo anaenda chuo cha mafunzo kujifunza nini? Namna ya kubaka vzur?
Jela zote lengo lake ni kurekebisha tabia ,
.ndy maana ukifika ule unafundishwa kazi mbali mbali za mikono,,
Ili ukitoka ubadilike..
Hata south african prison Inaitwa correctional service..
Jela sio mateso bali kunyimwa Uhuru,, kujifunza ,,pamoja na kurekebisha ulipokosea.
Ukitoka unakuwa mtu mpya.,,sio jela z@ bongo kaka
Ok asante kwa maelezo mazuri nimepata darasa ndugu.Abeid Karume kwa huku Zanzibar alisema Jela zisiitwe Jela (prisons) bali ziitwe Vyuo vya Mafunzo (Offenders Education Centres), na wafungwa waitwe wanafunzi...kwa hiyo hata sheria inatumbua kuwepo vya vyuo vya mafunzo na sio magereza/jela. Sababu yake kubwa alisema kuwa jela ni sehemu ya wahalifu kwenda kujifunza tabia njema kwa hiyo yapaswa kuitwe chuo cha mafunzo. kwa hiyo zenji tuna vyuo vya mafunzo na sio jela
Laki mbili⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️pamoja na kulipa fidia ya shilingi laki mbili ndani ya
Huyo kaandika chuo cha mafunzo ili ionekane adhabu aliyopewa ni ndogoMkuu kwani jela za bongo hakuna mafunzo ya kazi za mikono?
Mfano.
-- ufundi magari
--Ufundi Ujenzi.
--Ufundi carpenter nk.
Yote hayo lengo ni kujuwa kazi za mikono.
Na kama hayo yote hayapo huko jela,, basi sio lengo la kurekebisha tabia.
Lakini duniani kote inchi zilizoendelea lengo ni kurekebisha.
Watakuwa wameangalia umri wa bintiZanzibar bwana..
Yani sheria zao ziko laini laini sana.
Waletwe huku Bara wakione chamtema kuni.
Zanzibar jela inaitwa Chuo cha mafunzo..Huyo kaandika chuo cha mafunzo ili ionekane adhabu aliyopewa ni ndogo
HeeeeZanzibar jela inaitwa Chuo cha mafunzo..
Ukisikia jamaa yule Chuo cha mafunzo miaka 8.Heeee