Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
signal hio, ukitaka kujua full potential ya mtandao eneo husika hakikisha signal inapanda
eneo lako itakuwa watumiaji wa 4g ya tigo
Wazee 4G ipo Smile na Ndiyo ya ukweli kwa sasa ana bei ni bure kabisa.
1. Unlimited weekly @ TZS 35,000 at speed up to 6Mbps
2. Unlimited Monthly @ TZS 70,000 at speed up to 2Mbps
3. Unlimited Monthly @TZS 115,000 at speed up to 6Mbps
4. Unlimited Monthly @ TZS 210,000 at speed up to 21Mbps
5. Daily 2G bundle @TZS 2,500 at speed up to 21Mbps
Voice bundle ... No need to have 4G smartphone mambo ya Voice App ....Smile Voice app
Monthly bundle @ TZS 10,000 unapata 330 minutes and 1,000 SMS
Voice available national wide and outside TZ Wakati 4G network ipo Dar, ARUSHA, Mwanza town, Mbeya town, Dodoma town, Moshi town and Morogoro town
View attachment 371096 Hii kitu inaukwel wowote.? Nimekuta kwenye account yao ya twitterView attachment 371099
namba 5 ni 4g au 2g? kama ni 4g inamaana kwa mwezi 75,000 hadi 21mbps,unlimited.
Embu nitajie band zao zipoje kama zitafaa kwenye simu yangu
Nataka niitafute hiyo. Nasikia had vijijini unapata 4G
3G speed inatiwa kwenda mpk 21mb/s
4G ina LTE ambayo maximum speed ni 40mb/s na WIMAX inafika mpk 100mb/s
Wengi hawana iyo 4g ina wanaongeza transmission na bandwidth kwenye tower ili iwe na speed,ndo maana unaona mtu ana 4G na mwingine ana 3G ila speed inakuwa almost sawa au mwenye 4G ikawa ndogo
Vitu vinavyoathili speed ya internet ni
1. bandwidth ya mnara unaotumia (BTS)
2.watu wanaokuwa kwenye internet kwa iyo tower
3.majengo marefu au miinuko huwa vinazuia internet ndo maana town kuna booster kibao.
Kingine
Smile wapo poa,coz wanatoa speed nzur mm 10mbps inanitosha kabisa kwa kazi,ping ipo poa sana
Halotel hawana 4G kwa sasa, wana 3G wape muda utarudi kwa wateule
View attachment 374147 View attachment 374148
Hao ndiyo tigo huku kwetu!!
Kupata hiyo speed ya juu mpaka uwavizie usiku mnene.
Mida ya asubuhi hadi jioni ni. Chenga tupu.
yap wanazo, nenda ofisi zao ukasajiliHivi wanajamvi ttcl wana line za kutumia katika simu ambazo sio za ttcl? Msaada
unaweza ukahama kwenuView attachment 382379
Dah... Kuna watu wanafaidi jamani!!
SPYMATE anadai hiyo ni tigo maeneo ya Fire/Upanga Dar es Salaam
Zantel wanatumia 800MHz FDD LTE band 20
Smile wanatumia 800MHz FDD LTE band 20 na 2600MHz FDD LTE band 7
Smart wanatumia 2300 MHz TDD
Voda wanatumia 1800 MHz FDD band 3 Kama sikosei