Zantel 4G


Zantel hao tena Nime-test hiyo 4g pale Msasani yaani wameniacha Hoi.
Huko kwetu Manzese Zantel na tigo Hali Moja,
4g ya tigo hadi usiku mnene ndio inapanda kwenye 5maps ambayo inapitwa na 3g ya halotel
 
Sasa 4G kama ya Tigo haieleweki kabisa mnara wenyewe kukamata ni shida sana
 
Kaka hapo zantel inasoma 2bars .
Wakati Voda ukipata via bar viwili au kimoja kitu kinagonga kwenye 27Mbps.
Sasa hiyo 4g ya Znet na tigo utapata wapi iliyojaa bar zote?
yap voda hata 3g ipo hivyo bar 1 inatosha ila tigo nafkiri na hao zantel pamoja na halotel kama signal ni mbovu speed nayo huwa ndogo.

mimi hutafuta chimbo unaweza kuta hapo hapo ulipo kama ni chumba au ofisi utapata tu kona signal inakuwa kubwa na kupata speed nzuri
 
Halotel in 4G tosha
 
Halotel ndo mkombozi wetu nimekuja wilaya ya kilombero sehemu fulan inaitwa mbigu ni rahaa tu kama sipo kijijin
50 Kilometers from Ifakara town.
Hongereni sana.
Ni maeneo gani hayo LONDO au TANDALE?
 
Hao ndiyo tigo huku kwetu!!
Kupata hiyo speed ya juu mpaka uwavizie usiku mnene.
Mida ya asubuhi hadi jioni ni. Chenga tupu.
 
Hii ni Vodacom 3G
 

Attachments

  • wp_ss_20160801_0001.png
    56.4 KB · Views: 53
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…