Zantel 3g iko juu ucpme!!!

Zantel 3g iko juu ucpme!!!

e2themiza

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
974
Reaction score
564
Hehehehe ebwana eeh si mchezo Zantel 3G iko juu sana yani kwenye internet download manager napata kuanzia 200KBps to 500KBps mpaka

600KBps kama unavyona hapa

zantel 3.5g.JPG

Tena package kwa bei nafuu kabisa unanunua line ya zantel unajiunga na EPIC NATION na kwa siku unakatwa 500/= na unapata 50mb,

300msgs, 50mms na dakika 15 ya kuongea zantel kwenda zantel... hehehe kweli maisha raha
 
Umeamua kuifanyia promotion ya juu,mimi zantel sina hamu nao hao,maana kila nkiweka pesa kwenye modem walikuwa wananila kama nini,apo ndio nasoma email tu
Hehehehe ebwana eeh si mchezo Zantel 3G iko juu sana yani kwenye internet download manager napata kuanzia 200KBps to 500KBps mpaka 600KBps kama unavyona hapaView attachment 33622Tena package kwa bei nafuu kabisa unanunua line ya zantel unajiunga na EPIC NATION na kwa siku unakatwa 500/= na unapata 50mb, 300msgs, 50mms na dakika 15 ya kuongea zantel kwenda zantel... hehehe kweli maisha raha
 
KAMA WANA UNLIMITED CONNECTION NTAJIUNGA KAMA HAWANA NAONA NI USELESS SPEED KUBWA bundle INAISHA HARAKA. WIZI MTUPUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 
Huu muda wa kuongea Zantel kwenda Zantel huwa unapotea bure tu, maana kumpata rafiki anayetumia Zantel ni kaazi kweli kweli.
 
Hehehehe ebwana eeh si mchezo Zantel 3G iko juu sana yani kwenye internet download manager napata kuanzia 200KBps to 500KBps mpaka 600KBps kama unavyona hapaView attachment 33622Tena package kwa bei nafuu kabisa unanunua line ya zantel unajiunga na EPIC NATION na kwa siku unakatwa 500/= na unapata 50mb, 300msgs, 50mms na dakika 15 ya kuongea zantel kwenda zantel... hehehe kweli maisha raha
tupe maelezo unajiungaje na hyo epic nation?ni kwnye cm,modem au?
 
Siwezi kushangaa hiyo speed maana ndio kwanza wamezindua huduma hii ya 3g hivyo tuwape mda,wapate wateja wa kutosha tuone kama wataendelea na hiyo speed..... 50Mb kwa TSH 500? bado ni nyingi sana mkuu, maana 50mb, inaishia kuload blog ya michuzi.
 
hahaha uncle bana!mi hata hyo site sihangaikagi nayo! Hyo 3g inashika kwnye cm?
 
hahaha uncle bana!mi hata hyo site sihangaikagi nayo! Hyo 3g inashika kwnye cm?

Aaaah! siyo kwamba ni mtembeleaji wa hiyo blog, ila navyo jua mablog mengi ya bongo yamejaa mapicha na matangazo kibao, so kama ni mtu wakutumia internet ya kupimwa kwa MB inakuwa inakula kwako.Sijatumia hata kuitumia mkuu zaidi nimesikia hapa JF kuwa hawa jamaa wamezindua huduma yao ya 3g.
 
Mkuu naona umeamua kuwapa PROMO Zantel Hawafai takwambia kwa nini
  • wanaforce utumia voicecalls 5,000/= ili upate highlife 2gb kwa wiki kwa elfu 10,000/= ambayo total inakuwa 15,000/= wakati airtel wanaoffer 15,000/= kwa 3gb
  • Zantel package yako ikiisha kabla ya muda wako kuisha huwezi kujaza tena so kama unazo 2gb ukazitumia kwa siku tatu huwezi kuongeza same package mpaka wiki ikishaisha, therefore hapo utaona haina maana hata kama speed ingekuwa 1gb per second kama unaouwezo wa kutumia 5gb kwa wiki package yao is useless..
Kwahiyo mkuu kama wewe ni mfanyakazi wa ZANTEL waambie wenzako mmechemsha sana kwa upuuzi wenu mlioufanya kama nilivyosema hapo juu; and Am one of the customer mlionipoteza na Modem yenu ipo somewhere inajaa vumbi tu..,

But credit where credit due.. (package yenu ya kupiga simu nje ya nchi is one of the best thanks for that)
 
Umeamua kuifanyia promotion ya juu,mimi zantel sina hamu nao hao,maana kila nkiweka pesa kwenye modem walikuwa wananila kama nini,apo ndio nasoma email tu
Duuuh! pole sana mkuu inawezekana pia lakini kwangu sijaona hayo matatizo
 
Huu muda wa kuongea Zantel kwenda Zantel huwa unapotea bure tu, maana kumpata rafiki anayetumia Zantel ni kaazi kweli kweli.
Ndio uko sawa mkuu lakini mie faida katika iyo jero ni hzo sms 300 na 50mb
 
tupe maelezo unajiungaje na hyo epic nation?ni kwnye cm,modem au?
Unajiunga kwenye simu na pia hii huduma ni kwa line za zantel za GSM sio CDMA na vile vile kama uko umejiunga na HIGH LIFE hauwezi jiunga na EPIQ NATION laizma ujitoe kule na ujiunge hapa... kujiunga na EPIQ NATION kwanza lazima uwe una 500/= then dial kwenye simu *149*09# then itatokea menu apo utachagua REGISTER
 
Siwezi kushangaa hiyo speed maana ndio kwanza wamezindua huduma hii ya 3g hivyo tuwape mda,wapate wateja wa kutosha tuone kama wataendelea na hiyo speed..... 50Mb kwa TSH 500? bado ni nyingi sana mkuu, maana 50mb, inaishia kuload blog ya michuzi.
Hehehe yah ni kwl lakini hautwezi tabiri wamejipanga vp sio kwamba hawa wengine waliyumba basi kila moja ata yumba.... vile vile kwa kuangalia mitandao mingine ina offer 20mb kwa 500/=.. sasa zantel 50mb kwa 500/=bado ni cheap sana kwa wale ambao hawawezi unga na bundle kubwa,vile vile kuhusu kufungua blog moja 2 heheheh! i think that was a joke au sio?
 
Mkuu naona umeamua kuwapa PROMO Zantel Hawafai takwambia kwa nini
  • wanaforce utumia voicecalls 5,000/= ili upate highlife 2gb kwa wiki kwa elfu 10,000/= ambayo total inakuwa 15,000/= wakati airtel wanaoffer 15,000/= kwa 3gb
  • Zantel package yako ikiisha kabla ya muda wako kuisha huwezi kujaza tena so kama unazo 2gb ukazitumia kwa siku tatu huwezi kuongeza same package mpaka wiki ikishaisha, therefore hapo utaona haina maana hata kama speed ingekuwa 1gb per second kama unaouwezo wa kutumia 5gb kwa wiki package yao is useless..
Kwahiyo mkuu kama wewe ni mfanyakazi wa ZANTEL waambie wenzako mmechemsha sana kwa upuuzi wenu mlioufanya kama nilivyosema hapo juu; and Am one of the customer mlionipoteza na Modem yenu ipo somewhere inajaa vumbi tu..,

But credit where credit due.. (package yenu ya kupiga simu nje ya nchi is one of the best thanks for that)

Nakubaliana na wewe mkuu, ila tunachokizungumzia hapa leo ni ujio wao wa 3G, Kumbuka mwanzo walikuwa wanatoa package zao za data kwa kupitia technology ya CDMA na sasa wamekuja na 3G, ambayo inaushindani mkubwa kwa sasa, na ndio technology iliyosambaa zaidi kwa hapa TZ...

Na kama wataendeleza mtindo wao wa kulazimisha mtaje kutumia voicecalls 5,000/- kwa mwezi wataumia vibaya mno, ni matumaini yangu wamejipanga sawa sawa na wanakusudia kuteka soko la huduma ya DATA kwa Tanzania ...
 
the Tanzanian mobile operator, has launched prepaid internet service based on 3G technology in a package dubbed as ZConnect. Depending on the modem one uses, the service will offer internet at up to 3.1 Mbps. The plan is priced at TZS 6,000 for a daily subscription, TZS 30,000 for a weekly package and TZS 90,000 for monthly usage. The ZConnect service will be available in Dar es Salaam, Zanzibar, Pemba, Tanga, Dodoma, Morogoro, Arusha, Moshi, Mwanza, Tabora, Musoma, Shinyanga, Mbeya, Iringa and Ruvuma.

Sijajua kama package zao zina limit or ni unlimited, maana kwa bei zao ni zajuu kweli kweli sijui kama wataweza kuingia kwenye soko la ushindani na Airtel na tigo ambao wana package za bei ya chini kabisa ambazo Mtanzania wa kawaida anaweza kuzimudu.
 
ebwana kwenye net zantel hawana mpinzani.... voda na airtel uki-dowload huku mkoani nyimbo moja inabidi uache computer on uende kulala asubuhi ndio ukute download complete!!! Kuna wakati voda ina-download kwa kasi ya 0.09kb/sec...

Tatizo hiyo 5,000 inayotulazimu kutumia.. halafu usubiri bandle iishe muda ndio ununue nyingine.. Hii inanifanya kuendelea kuamini muuza chips ana akili zaidi na anatoa huduma bora kuliko masharobaro wanaokaa ofisini kubuni hizi products.
 
mnhh mi najiunga bureeeeeeeee
we eka line yako ya zantel na sh 0 then jiunge na hio ofa itakubali halafu usieke vocha tena itakua kila siku bure lahaaaaaaa ('.')hihi
 
mnhh mi najiunga bureeeeeeeee
we eka line yako ya zantel na sh 0 then jiunge na hio ofa itakubali halafu usieke vocha tena itakua kila siku bure lahaaaaaaa ('.')hihi

Una jiungaje ndugu? ebu tuelekeze na sisi tufaidi kidogo
 
Back
Top Bottom