MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Kuwa na hii kitu itatuchukua miaka mingi sana TanzaniaMWANAWAVITTO ... hivyo ni vitu vya kizamani!, na wala siyo reliable tena katika vita vya kisasa ... siku hizi silaha ambzo zipo juu ni Unmanned aerial vehicles (UAVS)
Unmanned aerial vehicles (UAVS), also known as drones, are aircraft either controlled by ‘pilots' from the ground or increasingly, autonomously following a pre-programmed mission. (While there are dozens of different types of drones, they basically fall into two categories: those that are used for reconnaissance and surveillance purposes and those that are armed with missiles and bombs.
The use of drones has grown quickly in recent years because unlike manned aircraft they can stay aloft for many hours (Zephyr a British drone under development has just broken the world record by flying for over 82 hours nonstop); they are much cheaper than military aircraft and they are flown remotely so there is no danger to the flight crew.
Mkuu Miaghay unajua unachokiongea?! ...Hio ndege haiwezi kuwa jetfighter wala bomber hio itakuwa ni ndege za transportation.
Halafu hio sio mizinga ni makombora.sidhani kama tunayo hapa bongo labda utupe prove kama ni kweli ni yaJWTZ.
Drone zipo za upelelezi ambazo zingine ziko cheap hata kwa dola milioni hamsini unapata.
Zipo armed drone,hizi wanatumia sana marekani na walimpa na israel ambao ndo walianza kuzifanyia majaribio kwa wapalestina kunako miaka ya tisini.mmoja wa mhanga wa majaribio hayo ni yule kilema Ahmed yassin wa gazastrip.
Ni marekan na israel tu ndo wanatumia drone zenye kufyatua makombora ya hellfire.iran nao wanakaribia kupefect armed drone technology,hivi karibuni walitoa surveilance drone.range km 500,inakaa angani kwa saa 24.
SASA TUTAJUAJE KAMA ZINAFANYA KAZI? nikama magari ya zima moto mkwara mkubwa kumbe maji hakuna. hizo za kichina!
Kuwa na hii kitu itatuchukua miaka mingi sana Tanzania
Mkuu Miaghay unajua unachokiongea?! ...
Kwa taarifa yako tu mchina anatengeneza makombora yanoyoitwa HJ-10 (HJ = Hong Jian au Hongjian, ikimaanisha Red Arrow)
These are series of indigenously developed and highly classified (as of 2011) Chinese anti-helicopter / anti-tank missiles, they are the primary weapon of the CAIC WZ-10 attack helicopter.
Sasa inajulikana kuwa this little-known missile is the Chinese equivalent of the AGM-114 Hellfire.
Na siku hizi haya yapo katika Chinese drone ingawa ni Highly developed version.
Na hizi hapa ni drones za China
Inawezekana tukabaki kununua second hand kama kawaida yetumkuu, kumiliki DRONES siyo masihara
TUOMBE MECHI ya urafiki na kenya au sudan nini meku msabaha?SASA TUTAJUAJE KAMA ZINAFANYA KAZI? nikama magari ya zima moto mkwara mkubwa kumbe maji hakuna. hizo za kichina!
Mkuu Miaghay unajua unachokiongea?! ...
Kwa taarifa yako tu mchina anatengeneza makombora yanoyoitwa HJ-10 (HJ = Hong Jian au Hongjian, ikimaanisha Red Arrow)
These are series of indigenously developed and highly classified (as of 2011) Chinese anti-helicopter / anti-tank missiles, they are the primary weapon of the CAIC WZ-10 attack helicopter.
Sasa inajulikana kuwa this little-known missile is the Chinese equivalent of the AGM-114 Hellfire.
Na siku hizi haya yapo katika Chinese drone ingawa ni Highly developed version.
Na hizi hapa ni drones za China
Acha kamba.za china ni bosheni, halafu mchina hajawahi kupigana vita yoyote, zaidi ya kudhalililshwa na wajapan zama hizo mpaka wakajenga ukuta wa kujilinda unaitwa great wall, pamoja na huo ukuta wajapani walikuwa wanaruka ukuta wanaingia wanawatandika, mpaka wakahisi walinzi wa ukuta walikuwa wanakula rushwa wakatunga sheria ya kunyonga wala rushwa.
Acha kamba.
TUOMBE MECHI ya urafiki na kenya au sudan nini meku msabaha?
Wajapan wamepigana na wachina miaka ya arobaini, wakala kichapo ...,wachina waliwapush wamarekani mpaka demilitarized zone kwenye korean war, wakachapana na NATO vietnam war, wakazichapa na India miaka ya 60s, wewe unazungumzia majeshi ya Ganges Khan.ukweli ni upi we dogo? unajua historia ya wachina na wajapan?