Zamaradi ataja ujio wa filamu yake aliyoiandaa kwa Milioni 200

Ni ya mwaka 2017 huyu mbibi àache kutufanya sisi Mbumbumbumbu
Screenshot_20190205-005854.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwe hiyo hela si unafungua studio ya kisasa kbs ya kutengeneza filamu hapa bongo, zama hapa anatupiga chenga ya mwili


Sent using Jamii Forums mobile app
Sema unatania!! Studio ya kisasa ya kutengeneza filamu?! Man, usichanganye kati ya film studio na production company kwa sababu studios are basically production companies but production companies aren't studios! Na tunaposema studio basi tunatarajia baadhi ya kazi zake (shooting) ziwe zinafanyika hapo hapo na ndio maana studio kama studio, na kwavile umesema "studio ya kisasa" basi tunatarajia iwe na set of buildings kuwezesha indoor film shooting.

All in all, nimemsikiliza Zamaradi! Kimsingi she's just a PRODUCER kwenye filamu husika, na ni producer kwa upande wa Tanzania! Ile filamu imehusisha crew members kutoka Tanzania, Nigeria na nadhani Australia! Nadhani na locations na zenyewe zipo kwenye nchi tatu. Kutokana na huo mgawanyo, basi Zamaradi ni producer tu kwa upande wa Tanzania na kwahiyo hausiki chochote na hizo 200M alizotaja!
 
Hawa wasanii unajua bado wanajua watanzania ni wajinga wa kukubali tu, nimeona baadhi ya vipande vya hii movie kwa utaalamu wangu mimi ni filmmaker nimeona ubora wa picha ni ule ule wa kawaida mpaka hapo nimetosheka kujua budget yake haifiki hiyo pesa unless kama waliamua kutoa pesa nyingi kwenye cast kuliko production

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona trailer na alieharibu si mwingine ni mwanadada wema. Ameharibu sana yani bora hata asingekuwepo.
 
Dada Zama muda huu anaongea na Waandishi wa habari kasema kuwa kuna ujio wa filamu yake yenye mapigano ndani ambayo ameiandaa kwa millioni miambili
====

Mtangazaji maarufu nchini Tanzania, Zamaradi Mketema amekuja na filamu iliyomgharimu Sh200 milioni katika kuitengeneza huku akieleza kuwa filamu hiyo imekuja kuleta mapinduzi katika sekta ya filamu.

Filamu hiyo inayoitwa 'Cop's Enemy' aliyoanza kuitengenezwa tangu mwaka 2016 na prodyuza John K, imechezwa katika nchi tatu ikiwemo Tanzania, Australia na India.

Wakati wasanii walioshirikishwa wamo Wema Sepetu, Stanlenley Msungu na Aunt Ezekiel kutoka Bongo, Van Vicker wa Ghana na wengine kutoka Nigeria, India na Australia.

Zamaradi ambaye aliwahi kuongoza filamu ya Kigodoro Kantangaze na Nzowa, akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Februari 4, 2019 amesema utengenezaji wa filamu hiyo ya gharama umelenga kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu hapa nchini ambayo imeonekana kushuka.

Amesema kutokana na hilo hakuhofia gharama watakazotumia kwani shida ilikuwa wafanye kitu kizuri kitakachorudisha heshima ya filamu nchini Tanzania.

Kwa upande wa waongozaji yupo Neema Ndempayo na John K kutoka nchini Australia ambaye pia ni mmoja wa wahusika katika filamu hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio gharama ya uandaaji bali kujua inauwezo wa kuelimisha jamii na kuilinda jamii maana film nyingi bongo huwezi angalia ata na mwanao

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Halafu utakuta movie yenyewe iko kama kigodoro

I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
 
Tangu atumie uchi kumsakama Dina Marius na juzi kumshauri mtoto wa Kajala kwamba anafanana na Bill Gates kwa kufeli......ndo nazidi kushindwa kumuelewa...
 
Back
Top Bottom