ENZI HIZO ILIKUWA NI KAWAIDA KUONA MAKABILA AU WENYEJI FULANI WAKIWA KATIKA MAVAZI YA KIENYEJI SIKU HIZI MILA ZIMEBADILIKA SANA KUTOKANA NA UTANDA WAZI WA TEKINOLOJIA:israel:
Tafiti zinaonesha kuwa katika maeneo ya mjini mabinti wengi wanaoonesha kuwa wamesoma wamejikuta kidogo kidogo wakivua ngua na kutembea uchi kama enzi za ujima. Hakika hili ni tatizo. Ivi hakuna wadau wa kulifanyia kazi suala la wadada kutembea uchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.