Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 203
Nafika jiji LA Mwanza kituo cha mabasi Buzuruga nakutana na mabasi yalio nakshiwa na rangi ya sisiemu ni mazuri kwa ukweli na yanazingatia muda levo siti
Twenzetu kwenye mada kituoni hapo Kuna basi zaidi ya kumi za zakaria barabarani sasa zinapishana kwa nususaa nikabaki na duaa kuelekea Sirari
maswali yakanijia kichwani kama jamaa Barbara ya Tarime Mwanza Zakaria kainunua?
nasikia yuko fiti
Twenzetu kwenye mada kituoni hapo Kuna basi zaidi ya kumi za zakaria barabarani sasa zinapishana kwa nususaa nikabaki na duaa kuelekea Sirari
maswali yakanijia kichwani kama jamaa Barbara ya Tarime Mwanza Zakaria kainunua?
nasikia yuko fiti