Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Wanachama zaidi ya mia moja wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kutoka kata za Engutoto na Lemara Jijini Arusha, wamepokelewa na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi kwenye Mkutano wa hadhara wa Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo unaofanyika leo kwenye Viwanja vya soko kuu Jijini Arusha.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwaniaba ya wawakilishi hao waliopanda jukwaani kuwakilisha wengine waliokihama Chama Cha Chadema, Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee kata ya Lemara, amewaambia wananchi wa Arusha Mjini kuwa aliyewaondoa Chadema ni Mhe. Mrisho Gambo, kutokana na kazi kubwa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyoshuhudiwa ndani ya miaka mitano ya Uwakilishi wa Mbunge huyo kwenye Bunge la Tanzania pamoja na usimamizi wake wa karibu wa miradi mbalimbali ya maendeleo Jijini Arusha.
See translation
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza kwaniaba ya wawakilishi hao waliopanda jukwaani kuwakilisha wengine waliokihama Chama Cha Chadema, Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee kata ya Lemara, amewaambia wananchi wa Arusha Mjini kuwa aliyewaondoa Chadema ni Mhe. Mrisho Gambo, kutokana na kazi kubwa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyoshuhudiwa ndani ya miaka mitano ya Uwakilishi wa Mbunge huyo kwenye Bunge la Tanzania pamoja na usimamizi wake wa karibu wa miradi mbalimbali ya maendeleo Jijini Arusha.
See translation