Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,515
Ndo zilizotumika kwenye mabango ya kampeni
Kweli hawa nyumb ni shida kwenye uchaguzi na corona walifeli sasa wanakuja na ajenda nyingineUna lako jambo.....!!!
Hopeless!Ndo zilizotumika kwenye mabango ya kampeni
Sure!
Alafu ukaguzi maalum ufanyike kuthibitisha mapato na matumizi...
Wanufaika waupigaji dili muandae majibu kwa mabeberu wanauliza zimetumika vipi pesa zao.Hopeless!
Ndio matatizo ya serikali kuficha data walishindwa kufuata maagizo ya shirika la WHO kupambana na ugojwa sasa ndio mana mabeberu wanashindwa kuelewa pesa zimetumikaje kama data zilikuwa zinafichwa na kusema hatuna wagojwaSawa...... Nilihoji haya mambo lkn serikali imekataa kunipa majibu.
Kumbe kuna dola 27mil walipewa na umoja wa ulaya na zenyewe wametumia kuhonga wasanii kipindi cha kampeni.... Hawa EU hawapo kwenye orodha yangu ya. waaliochangia corona Tanzania
Hata wasipopewa hao wenye madaraka hawaumii maana wana uhakika wa maisha.Nashauri hao wengine wote niliowaorodhesha wadai pesa zao zirudishwe...... Hii serikali dharimu haihitaji kupewa hata shilingi...
Asante sana mkuu, nakuuliza hapa unahoji nini specifically. Vilihitaji tuwe wepesi kuazia.Naleta kwenu wakuu, tujiulize pamoja lakini tuitake serikali itoe mrejesho wa hizi pesa zimeenda wapi hasa?
Nakumbuka watz walichanga maafa ya Kagera lakini serikali haikuwajibika vya kutosha na hili likabki kua doa lisilofutika miongoni mwa watz..
Nani kasema zote? Naona umejipiga selfie😂😂Ndivyo akili yako inavyokutuma? Pesa zote hizo kwa ajili ya matangazo tu? Ukiwa m ccm lazima kichwani kuwe hivi.View attachment 1630238
Leo mmeumbuka!Kahangaike na Saccos ya Chadema Faru John amekula pesa zote zilizochangwa na wabunge wake!!
Hakuna mwanaccm mwenye aibuLeo mmeumbuka!
Nimeamini uelewa wenu ni mdogo sana. Yaani majadiliano ya kamati ya bunge la EU tena just mjumbe mmoja wa kamati ameuliza pesa walitoa kwa Tanzania imekuwa kama ni resolution ya bunge la EU which is not the case! Na viongozi wa EU wameshamjibu. There is no big issue there! Lakini nyumb wameona ni issue kubwa wakati huyo mjumbe ni sawa tu na akina Sugu walivyokuwa wakitoa upupu wao kwenye bunge la TZ.Leo mmeumbuka!
We wa buku 7 huna ulijualoMatangazo kwenye vyombo vya habari juu ya Covid-19 huwa yanalipiwa kwa pesa ipi unadhani?
Ihihihihihihiiiiii unatia huruma sana , suo mbaya ila hii ndio kazi ya dekioNimeamini uelewa wenu ni mdogo sana. Yaani majadiliano ya kamati ya bunge la EU tena just mjumbe mmoja wa kamati ameuliza pesa walitoa kwa Tanzania imekuwa kama ni resolution ya bunge la EU which is not the case! Na viongozi wa EU wameshamjibu. There is no big issue there! Lakini nyumb wameona ni issue kubwa wakati huyo mjumbe ni sawa tu na akina Sugu walivyokuwa wakitoa upupu wao kwenye bunge la TZ.