MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Pamoja na nec kueleza kuwa iliweka mikakati ya kuwasaidia watu ambao hawakuona majina yao, bado idadi inahisiwa kuzidi million nnne ya waliokosa kupiga kura kwa kukosa kuona majina yao.
Tusilaumu wananchi kwamba hawakujitokeza, bali tuiulize nec kwanini watu wafike vituoni kupiga kura wakiwa na kadi za kupiga kura na warudishwe!. Watu hao hao walipiga vituo hivyo hivyo mara chaguzi zilizopita lakini huu eti majina hayakuonekana.
Inavyoonekana huu ulikuwa ni mkakati wa makusudi. Kila kituo kilikuwa na zaidi ya watu kumi waliokosa kuona majina. This is not coincidence. Nec itupe majibu ya maswali haya kabla haijaanza kujitetea eti watu hawakujitokeza.
Tusilaumu wananchi kwamba hawakujitokeza, bali tuiulize nec kwanini watu wafike vituoni kupiga kura wakiwa na kadi za kupiga kura na warudishwe!. Watu hao hao walipiga vituo hivyo hivyo mara chaguzi zilizopita lakini huu eti majina hayakuonekana.
Inavyoonekana huu ulikuwa ni mkakati wa makusudi. Kila kituo kilikuwa na zaidi ya watu kumi waliokosa kuona majina. This is not coincidence. Nec itupe majibu ya maswali haya kabla haijaanza kujitetea eti watu hawakujitokeza.