ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,545
Miaka ya nyuma kiwanda kilikua imara na makini kila upande kilijitosheleza kwa kuwa na hospital yake, kikosi Chake cha zimamoto, shule, maduka, klabu za michezo na vikundi vya burudani
Katika vyote walikua na zahanati ilikuwa ikitibia familia za wafanyakazi na wakazi wa maeneo jirani na kiwanda mfano uzuri, manzese, mabibo nk cha ajabu baada ya muda kupita vitu vikaanza kuporomoka
Lililosikitisha zaidi ni ile hospital kufungwa, ikitokea iliyokua hospital ikakodishwa kwa kanisa! Zikapita siku na miaka kanisa likasitisha shughuli zao wakaingia watu wa chuo cha uandishi wa habari!
Sijui hata vifaa vilipelekwa wapi! Hadi leo mahala pale ni chuo hii inaumiza sana!
Katika vyote walikua na zahanati ilikuwa ikitibia familia za wafanyakazi na wakazi wa maeneo jirani na kiwanda mfano uzuri, manzese, mabibo nk cha ajabu baada ya muda kupita vitu vikaanza kuporomoka
Lililosikitisha zaidi ni ile hospital kufungwa, ikitokea iliyokua hospital ikakodishwa kwa kanisa! Zikapita siku na miaka kanisa likasitisha shughuli zao wakaingia watu wa chuo cha uandishi wa habari!
Sijui hata vifaa vilipelekwa wapi! Hadi leo mahala pale ni chuo hii inaumiza sana!