Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,522
- 25,510
hayo Shalom ni ya Mtanzania na wengine Zimbabwe wanatoa Harare/Johannesburg na Harare/Messina hizo Nchi ni rahisi kuwekeza mkuu abiria wengi wenye kipato na pia mizigo ni mingi inayokwenda mfano Zambia na kodi yao reasonable na mkimalizana boarder basi hakuna Longo Longo tena ndio maana Lusaka na kitwe wafanyabiashara wakubwa wengi ni Watanzania wana Maroli yao ya kupakia mzigo Jozi mpaka Lusaka..,Kwa hiyo kuna wabongo wamewekeza kwenye biashara ya mabasi Zambia na SA!