Yusuph Manji mgombea udiwani wa CCM Mbagala!

Yusuph Manji mgombea udiwani wa CCM Mbagala!

YUSUP MANJI ANATAKA UDIWANI ILI AWANIE UMEYA DAR

stay tuned
 
Wananchi WA mbagala mumuulize kuhusu mabehewa mabovu. Akane kama hausiki
 
Lakini ni haki yake kikatiba,kikubwa ajitahidi ashinde huo udiwani kwanza.
Otherwise,sioni haja ya kutangaza jina kubla hata mtoto hajazaliwa..

 
Safi sana MANJI watangazie Na WAHIDI huko India waambie huku CCM inauhaba Wa wagombea wake tu hata kama wasipopita kwenye vikao vya mahojiano wao watapitishwa tu CCM itawatambua kama wawekezaji Wa kisiasa
 
mimi iko punguza foleni,iko engeza mabasi ya kichina,iko jenga flyover na tayari kwisha agiza treni za mjini,iko panga eno kubwa ya machinga ktk jumba moja ya babu yangu tena bureeee! Iko harakisha ujenzi wa daraja la kigamboni.Iko badisha Dar zaidi ya Nairobi.Barabara che.Haste haste!!!!!!!!!

Halafu na sisi tusiojijua tunachekelea he he he heeeee! tunamtaka Manji wetu!

Kha! nilisikia kutaka kutapika nilivyoona wale akina mama wakishauka vile pale.
 
ati manji anawza kununua hata kamati kuu! unafikiri CCM ni sawa na chaga development manifesto iliyonunuliwa na kibabu cha kimasai

Kama Lowassa ni kibabu na ni mdogo by 2 yrs kwa Kikwete,kwa hiyo Kikwete utamwitaje?
 
Wewe zimehama kwa muda au humuelewi Manji anaezungumziwa hapa? Yaani akawe na nyumba huko ya nini? Yeye hadhi yake ni ya kuishi huko?

huo udiwani anaoutaka kwa nini wampe kama mbagala sio type yake?au mbagala ina wana yanga wengi kwa hivo watamchagua tu?shame on you ccm.
 
Back
Top Bottom