Madabida wa ARVs fake naye awe hakimu?!!!Mfanyabiashara Yusuph Manji ameteuliwa kugombea Udiwani kata ya Mbagala kwa tiketi ya CCM.
Manji ambaye awali alikatwa na mkoa amerejeshwa na kamati kuu. Hata hivyo m/kiti wa CCM Madabida amesema hakubaliani na uteuzi huo kwani Manji alivunja kanuni.
Chanzo: Tanzania Daima
Hata hivyo Manji hakuhitaji kupiga kampeni, nani asiyemfahamu Manji hadi atake kampeni kwa Manji?Mfanyabiashara Yusuph Manji ameteuliwa kugombea Udiwani kata ya Mbagala kwa tiketi ya CCM.
Manji ambaye awali alikatwa na mkoa amerejeshwa na kamati kuu. Hata hivyo m/kiti wa CCM Madabida amesema hakubaliani na uteuzi huo kwani Manji alivunja kanuni.
Chanzo: Tanzania Daima
Madabida wa ARVs fake naye awe hakimu?!!!
Madabida wa ARVs fake naye awe hakimu?!!!
ati manji anawza kununua hata kamati kuu! unafikiri CCM ni sawa na chaga development manifesto iliyonunuliwa na kibabu cha kimasai
ati manji anawza kununua hata kamati kuu! unafikiri CCM ni sawa na chaga development manifesto iliyonunuliwa na kibabu cha kimasai
Hivi ana nyumba huko au ni askari wa kukodi?
Anaishi wapi ndugu yangu? Nakama siyo huko kwenye kata wanayomtaka, ndiyo nauliza ni askari wa kukodi - mercenary?Wewe zimehama kwa muda au humuelewi Manji anaezungumziwa hapa? Yaani akawe na nyumba huko ya nini? Yeye hadhi yake ni ya kuishi huko?
Anaishi wapi ndugu yangu? Nakama siyo huko kwenye kata wanayomtaka, ndiyo nauliza ni askari wa kukodi - mercenary?